Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Ukame unaolikumba eneo la Kusini mwa Madagascar ni mbaya kuwahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka 40
Shirika la mpango wa chakula duniani linaonya kuwa unaolikumba eneo la kusini mwa Madagascar kwa miongo minne unasababisha njaa na ukame mkubwa
Mkurugenzi wake, David Beasley, ambaye ndio ametembelea kanda hiyo, amesema bila msaada wa haraka kwa watu zaidi ya nusu milioni itakuwa ni "kubisha mlango kwa familia zinazokabiliwa na ukame ", huku watu wengine 800,000 wakielekea kupatwa natatizo hilo.
Amesema kuwa alishitushwa na kile alichokiona Kusini mwa Madagascar – ambako watoto walikuwa wamebakia tu na mifupa yenye ngozi, na familia zilikuwa zikila matope na matunda pori kwasababu hapakuwa na kitu kingine.
Beasley ameiita hali inayoendelea katika kusini mwa Madagascar ‘’janga la kimya lililo katika eneo lilililosahahulika.
Mzozo huo unasababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa, ambapo ukame umeendelea kuwepo na kuzilazimisha familia kuzihama nyumba zao, amesema Bw Beasley.
Amesema kuwa mataifa tajiri hayana maadili ya uwajibikaji ya kusaidia.
Hali hiyo imesababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa, ambapo ukame umeendelea kuwepo na kuzilazimisha familia kuzihama nyumba zao
Shirika la mpango wa chakula duniani linaonya kuwa unaolikumba eneo la kusini mwa Madagascar kwa miongo minne unasababisha njaa na ukame mkubwa
Mkurugenzi wake, David Beasley, ambaye ndio ametembelea kanda hiyo, amesema bila msaada wa haraka kwa watu zaidi ya nusu milioni itakuwa ni "kubisha mlango kwa familia zinazokabiliwa na ukame ", huku watu wengine 800,000 wakielekea kupatwa natatizo hilo.
Amesema kuwa alishitushwa na kile alichokiona Kusini mwa Madagascar – ambako watoto walikuwa wamebakia tu na mifupa yenye ngozi, na familia zilikuwa zikila matope na matunda pori kwasababu hapakuwa na kitu kingine.
Beasley ameiita hali inayoendelea katika kusini mwa Madagascar ‘’janga la kimya lililo katika eneo lilililosahahulika.
Mzozo huo unasababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa, ambapo ukame umeendelea kuwepo na kuzilazimisha familia kuzihama nyumba zao, amesema Bw Beasley.
Amesema kuwa mataifa tajiri hayana maadili ya uwajibikaji ya kusaidia.
Hali hiyo imesababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa, ambapo ukame umeendelea kuwepo na kuzilazimisha familia kuzihama nyumba zao