Familia yajiua Iringa

Familia yajiua Iringa

af inaelekea BIGURUBE ananiombe kifo kweli kweli
mwambie iviii miaka 800 iyo roho ishindwe, maisha matam namna hii eboooo
ama kesha mtaftia hubby wangu kamchuchuuu nini??

Nakuombea maisha marefu dada'ngu mzuri, nakuja huko mwezi ujao, kahotel gani kazuri wanauza BBQ ya ka-dog?
 
Last edited by a moderator:
nakuombea maisha marefu dada'ngu mzuri, nakuja huko mwezi ujao, kahotel gani kazuri wanauza bbq ya ka-dog?

mweeeeehhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Yaani mie neno dada'ngu mzuri limenikosha kweli.
Karibu sana kaka mzuri
 
Ahsante dadaaa, ingawa hujajibu swali langu, ka-dog na chimpumu vipo?

Simbilisi ni chakula nini tena? Mi najua huko ugali unapikwa na unga wa ngano unakuwa km mkate vile.... Weeee utapenda mbona
 
jamani kuua kiumbe cha Mungu kitoto kile bila hatia ndo si angemwacha tu mtoto angelelewa na mashirika binafsi
jamani hawa watu wa huko iringa wanaihitaji ushauri nasaha wa kisaikolojia
 
mpaka nifikie hatua ya kujiua yatakua yamenisibu mazito aisee
 
Kungekuwa inaruhusiwa kuchapa maiti huyo mama alitakiwa achapwe hamsa20
 


mungi.gif


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi.PICHA|MAKTABA


Kwa ufupi

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi na kwamba mama huyo alifariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Zahanati ya Kilolo.


Kilolo
Mwanamke mmoja wa Kijiji cha Mtitu wilayani hapa, Grace Lubava (33), amemuua mtoto wake kwa sumu na kisha naye kujiua kwa njia hiyohiyo na baadaye mumewe, George King’ung’e (45), kujinyonga kwa kamba kutokana na vifo hivyo.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi na kwamba mama huyo alifariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Zahanati ya Kilolo.

“Kifo cha mama na mtoto kilitokea baada ya mumewe kumzuia mkewe kwenda kumwona baba yake ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Tosamaganga,” alisema Mungi.

Alisema kuwa mume alimzuia mke huyo kwenda hospitali kwa madai kuwa alikuwa anakwenda kwenye mambo yake binafsi jambo ambalo lilimkera mwanamke huyo kiasi cha kufikia uamuzi huo.

Kamanda Mungi alisema baada ya King’ung’e kubaini vifo hivyo na msingi wake, aliamua kwenda porini na kujinyonga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi na kwamba mama huyo alifariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Zahanati ya Kilolo.

“Kifo cha mama na mtoto kilitokea baada ya mumewe kumzuia mkewe kwenda kumwona baba yake ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Tosamaganga,” alisema Mungi.

Alisema kuwa mume alimzuia mke huyo kwenda hospitali kwa madai kuwa alikuwa anakwenda kwenye mambo yake binafsi jambo ambalo lilimkera mwanamke huyo kiasi cha kufikia uamuzi huo.

Kamanda Mungi alisema baada ya King’ung’e kubaini vifo hivyo na msingi wake, aliamua kwenda porini na kujinyonga.

CHANZO: Mwananchi

da ....nasisi wa hehe kwa hasiraa
 
Kabila la Mwamwindi hawa; aliyemuua gamba Klerruu aliyekuwa RC Iringa enzi ya MUSSA!!! Kujiua hawa ni jadi yao. Akikwambia SWELA afadhali ukimbie ama sivyo yatakupata yaliyompata Klerruu.
 
Misimamo ya hao jamaa inapita hata ile ya wamasai wa Longido, unamkumbuka Adam Sapi alichomfanyia Nyerere? Huyu Sapi ndie spika wa kwanza wa bunge la Tanzania. Unaambiwa Nyerere Kuna kipindi alimfukuza uspika. Mzee Sapi akamwambia hautakanyaga Iringa ww maisha yako yote, Nyerere akabisha akafunga safari kufanya ziara Iringa, ile kufika Kitonga yy na msafara wake wakaona mbele yao ni bahari tupu na hakuna njia ya kupita... Nyerere akageuza kurudi Dar, baada ya siku2 akatangaza kumrudishia uspika wake.
 
Misimamo ya hao jamaa inapita hata ile ya wamasai wa Longido, unamkumbuka Adam Sapi alichomfanyia Nyerere? Huyu Sapi ndie spika wa kwanza wa bunge la Tanzania. Unaambiwa Nyerere Kuna kipindi alimfukuza uspika. Mzee Sapi akamwambia hautakanyaga Iringa ww maisha yako yote, Nyerere akabisha akafunga safari kufanya ziara Iringa, ile kufika Kitonga yy na msafara wake wakaona mbele yao ni bahari tupu na hakuna njia ya kupita... Nyerere akageuza kurudi Dar, baada ya siku2 akatangaza kumrudishia uspika wake.

Ugimbi MNYWESAGE ILA Pombe MSINYWE.
 
muzimu wa wahehe! musioe wahehe jamani. sasa kama ni kujinyonga au kunywa sumu angekunywa mwenyewe sasa huyo mtoto anahusikaje na vifo hivyo?
 
Lukuvi sio muhehe ni interahamwe ama sivyo angekwisha jinyonga kwa ujangili wa kuua tembo alioufanya huko Ruaha!!
 
Back
Top Bottom