hahahahahhaa wale wameiga kwenu ila nyie mnajiua kikatili sana
Mkwawa kawaachia urithi mbaya.
![]()
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi.PICHA|MAKTABA
Kwa ufupi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi na kwamba mama huyo alifariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Zahanati ya Kilolo.
Kilolo
Mwanamke mmoja wa Kijiji cha Mtitu wilayani hapa, Grace Lubava (33), amemuua mtoto wake kwa sumu na kisha naye kujiua kwa njia hiyohiyo na baadaye mumewe, George Kingunge (45), kujinyonga kwa kamba kutokana na vifo hivyo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi na kwamba mama huyo alifariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Zahanati ya Kilolo.
Kifo cha mama na mtoto kilitokea baada ya mumewe kumzuia mkewe kwenda kumwona baba yake ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Tosamaganga, alisema Mungi.
Alisema kuwa mume alimzuia mke huyo kwenda hospitali kwa madai kuwa alikuwa anakwenda kwenye mambo yake binafsi jambo ambalo lilimkera mwanamke huyo kiasi cha kufikia uamuzi huo.
Kamanda Mungi alisema baada ya Kingunge kubaini vifo hivyo na msingi wake, aliamua kwenda porini na kujinyonga.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi na kwamba mama huyo alifariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Zahanati ya Kilolo.
Kifo cha mama na mtoto kilitokea baada ya mumewe kumzuia mkewe kwenda kumwona baba yake ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Tosamaganga, alisema Mungi.
Alisema kuwa mume alimzuia mke huyo kwenda hospitali kwa madai kuwa alikuwa anakwenda kwenye mambo yake binafsi jambo ambalo lilimkera mwanamke huyo kiasi cha kufikia uamuzi huo.
Kamanda Mungi alisema baada ya Kingunge kubaini vifo hivyo na msingi wake, aliamua kwenda porini na kujinyonga.
CHANZO: Mwananchi
Ipo siku mtasikia Lukuvi naye amejitia kitanzi baada ya serikali mbili kukataliwa
hahahahahahha........................Kana Gangilonga Nendeni Kwa MAMA SIYOVELWA MKALE NOAH.
Daaah aise uku panafaa kuoa mke kweli wana jf?
Ipo siku mtasikia Lukuvi naye amejitia kitanzi baada ya serikali mbili kukataliwa
Mbona Wengine Tumeoa.
hahahahahahha........................
weee umesahu kuna kijiwe kipya kimefunguliwa njia ya kushuka kwa mkuu wa mkoa kizuri jee sasa??
skumbuki tu jina ila kesho mchana ntakuwa apo lol!!
Hivi AnayeJINYONGA NA KUJIPIGA RISASI Nani Anajiua Kikatili?
Ukikuta pamefungwa unajinyonga...
hahahahaha lol hawawazagi mara mbili
Kweli aisee hawawazagi Mara mbili mbili, Kuna kipindi serikali ilishauriwa kupiga marufuku uuzaji wa kamba naona zote kule Iringa, hata viatu ilitakiwa viuzwe vile vya mchomeko... Huyu akikuta akikuta hicho kibanda cha kuuza kitimoto kimefungwa usishangae JF tunampoteza member mwenzetu
hahahahahahha........................
weee umesahu kuna kijiwe kipya kimefunguliwa njia ya kushuka kwa mkuu wa mkoa kizuri jee sasa??
skumbuki tu jina ila kesho mchana ntakuwa apo lol!!
Kampe aliyemu-Ufoo Saro