mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
watoto tangu lini watakubali kuwa wanakula pesa za wizi? wangefunga midomo yao tu
Huu ndio uongo wa baadhi ya watu, hivi kuna 1.6 o'level?Nyangu hawezi kujadili ishu ni kilaza flani alimaliza o level mawenzi mama yake akiwa rc akamwezesha kupata mitihani akascore 1.6 akaenda special school ilboro akazungusha so hana cha kutuambia