Hivi hiyo hoteli haina walinzi kabisa.
Mtu anachukuliwa ndani wao wapo kimya tu.
Na humo jim MO alikuwa peke yake.
Wanamazoezi wenzake waliona nini ?
Walichukua hatua gani ?
Hiyo jim hoteli haina cctv camera ?
Hivi alikuwa peke yake kwenye jim na hotelini ?
N
Inaonekana kama sinema lililoandaliwa vile ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.