JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,021
Siamini kama lisu ATAKUJA KUKAA MEZA MOJA NA NDUGAI KUJADILI MATATIZO YAKE.
OK tuyaache haya.
Lisu kuna kitu anachoamini kuhusu kushambuliwa kwake.sidhan kama ataweza kukaa nao.
..TL alishasema kutibiwa ni haki yake kama mbunge.
..Na alitoa maagizo familia isiandike barua ya maombi.
..Baada ya msimamo huo sasa ndiyo kimekuja kikao cha bunge, familia, na chadema.
..Na wameshindwa kuchukua maamuzi kwasababu chadema hawakuwa na mwakilishi.
..Kwa kifupi itakuwa ni kashfa kubwa kama TL atarudi nchini bila kuwa amepatiwa haki yake ya matibabu na Bunge. Na hicho ndicho Ndugai anajitahidi kukiepuka hapa.