Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,734
- 29,124
Mzuka wanajamvi
Hii Familia ya Hayati Hamza siyo ya kuchekewa chekewa ni ya kulaamiwa kabisa.
Yani hadi napoandika huu uzi hawajaweka mchakato ni jinsi gani tutawapa rambirambi. Yani wakowako tu. Tunawaomba na kuwasihi waweke utaratibu ama namba Mpesa, Tigo Pesa ama Airtel Money ili rambirambi ziwafikie njia yoyote ile.
Ikifika kesho hawajafanya hivyo tutawepelekea hizi rambirambi kwa lazima na nguvu.
Hii Familia ya Hayati Hamza siyo ya kuchekewa chekewa ni ya kulaamiwa kabisa.
Yani hadi napoandika huu uzi hawajaweka mchakato ni jinsi gani tutawapa rambirambi. Yani wakowako tu. Tunawaomba na kuwasihi waweke utaratibu ama namba Mpesa, Tigo Pesa ama Airtel Money ili rambirambi ziwafikie njia yoyote ile.
Ikifika kesho hawajafanya hivyo tutawepelekea hizi rambirambi kwa lazima na nguvu.