Iko hivi,mtu akishakuwa mtu mzima hujiamulia kuishi maisha yake atakayo wewe mzazi huna uwezo wa kumnyoosha kwa sababu anapita sehemu nyingi ambazo wewe huwezi kuzijua zote unakuja kushtuka siku akishafanya tukio.Ndio maana igp katukumbusha wazazi kuhusu malezi
Sirro atakua na taarifa nyingi kuhusu makuzi ya hamza....
Na aliongea aliyongea yawafikie baba na mama hamza wengine na ma-hamza wao
Kulea hakuna ufundi ila linapokuja swala la kutumia silaha kwa kiwango cha hamza maswali kuhusu historia ya makuzi yake yapo mengi
Iko hivi,mtu akishakuwa mtu mzima hujiamulia kuishi maisha yake atakayo wewe mzazi huna uwezo wa kumnyoosha kwa sababu anapita sehemu nyingi ambazo wewe huwezi kuzijua zote unakuja kushtuka siku akishafanya tukio.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Pamoja na hayo makuzi yake lkn bado akapewa uongozi ndani ya CCM mpk akawajengea na ofisi ya chama.Ndio maana igp katukumbusha wazazi kuhusu malezi
Sirro atakua na taarifa nyingi kuhusu makuzi ya hamza....
Na aliongea aliyongea yawafikie baba na mama hamza wengine na ma-hamza wao
Kulea hakuna ufundi ila linapokuja swala la kutumia silaha kwa kiwango cha hamza maswali kuhusu historia ya makuzi yake yapo mengi
Hata usiseme hivyo. Kuna watoto wameshindikana kwa wazazi mpaka mzazi anasema litakalompata shauri zake.Unakijua wanachokijua familia ya hamza kuhusu hamza tangu utotoni?
Unajua anachokijua igp kuhusu makuzi ya hamza na kilichopelekea kufanya aliyofanya?
Kama hujui nenda kapate maelezo urudi tena
Hata usiseme hivyo. Kuna watoto wameshindikana kwa wazazi mpaka mzazi anasema litakalompata shauri zake.
Tena wale wazaz strict sana ndio wanapigwaga matukio na watoto wao mpaka watu wanashangaaa mzee yule na ukali wake mtoto wake mbona yuko hivi. Hakuna mzazi anayetamani mtoto wake aende njia mbovu.
Unabahati nilikua nikutukane bonge la tusi kabla ya kusoma..,🤓🤓Mzuka wanajamvi!
Hii Familia ya Hayati Hamza siyo ya kuchekewa chekewa ni ya kulaamiwa kabisa.
Yani hadi napoandika huu uzi hawajaweka mchakato ni jinsi gani tutawapa rambirambi. Yani wakowako tu. Tunawaomba na kuwasihi waweke utaratibu ama namba Mpesa, tigopesa ama airtel money ili rambirambi ziwafikie njia yoyote ile.
Ikifika kesho hawajafanya hivyo tutawepelekea hizi rambirambi kwa lazima na nguvu.
Yeye mwenye malezi bora mbona alitudanganya kuhusu ile picha ya cctv kuhusu watekaji wa Mo.Ndio maana igp katukumbusha wazazi kuhusu malezi
Sirro atakua na taarifa nyingi kuhusu makuzi ya hamza....
Na aliongea aliyongea yawafikie baba na mama hamza wengine na ma-hamza wao
Kulea hakuna ufundi ila linapokuja swala la kutumia silaha kwa kiwango cha hamza maswali kuhusu historia ya makuzi yake yapo mengi
Amefanya matukio mangapi?Unakijua wanachokijua familia ya hamza kuhusu hamza tangu utotoni?
Unajua anachokijua igp kuhusu makuzi ya hamza na kilichopelekea kufanya aliyofanya?
Kama hujui nenda kapate maelezo urudi tena
Wewe unafahamu vizuri saikolojia za binadamu?Hakuna anayekataa kwamba kuna watoto wanaoshindikanika
Hakuna anayewalaumu wazazi kwa mtoto kushindikanika
Hakuna mzazi fundi wa kulea kiasi cha kusema yeye watoto wake wamekua wema sababu ya ubingwa wake
Ila unapokua wazazi na familia hata jamii inamjua mtoto au mwanajamii na tabia zake kuna vitu inaweza kuzuia kupunguza madhara... wewe na familia mshaona mtoto ana shida hamuwezi nyamaza huku mkijua anamiliki silaha ambayo anaweza kuitumia popote. Umiliki wa hiyo silaha haukua siri
Hamza alikuwa mfanyabiashara wa madini, hivyo sio ajabu kumiliki silaha na kujua namna ya kutumia for self defenseNdio maana igp katukumbusha wazazi kuhusu malezi
Sirro atakua na taarifa nyingi kuhusu makuzi ya hamza
Na aliongea aliyongea yawafikie baba na mama hamza wengine na ma-hamza wao
Kulea hakuna ufundi ila linapokuja swala la kutumia silaha kwa kiwango cha hamza maswali kuhusu historia ya makuzi yake yapo mengi
Kisa ameua askari ndo amekuwa na malezi mabaya, it's big NoUnakijua wanachokijua familia ya hamza kuhusu hamza tangu utotoni?
Unajua anachokijua igp kuhusu makuzi ya hamza na kilichopelekea kufanya aliyofanya?
Kama hujui nenda kapate maelezo urudi tena
Wewe unafahamu vizuri saikolojia za binadamu?
Iko hivi binadamu yeyote anaweza kugeuka dakika yoyote ile na kupata ujasiri au roho ya kinyama kutokana na mazingira au matukio fulani.
Ni sawasawa mtu amemfumania mkewe ghafla akachukua silaha na kumuua mgoni wake huwezi kusema wazazi wake hawakuwa makini katika malezi ndio maana ameua
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
✌Hakuna anayekataa kwamba kuna watoto wanaoshindikanika
Hakuna anayewalaumu wazazi kwa mtoto kushindikanika
Hakuna mzazi fundi wa kulea kiasi cha kusema yeye watoto wake wamekua wema sababu ya ubingwa wake
Ila unapokua wazazi na familia hata jamii inamjua mtoto au mwanajamii na tabia zake kuna vitu inaweza kuzuia kupunguza madhara... wewe na familia mshaona mtoto ana shida hamuwezi nyamaza huku mkijua anamiliki silaha ambayo anaweza kuitumia popote. Umiliki wa hiyo silaha haukua siri
Hamza mohammed na Chaula agness wapi na wapi?Namba wametoa hii 0746267998 jina chaula agnes.inadaiwa ni ndugu yao ndo anapokea ila hipatikani muda wote.
Mimi nilituma ten ilipopita masaa sita nikalokea sms ya shukrani