Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,024
Buku saba zilifutwa na Shaka kwasasa wana-volunteer ndiyo maana wana hasira kama siafu jike.Nyie kwani bado mnalipwa buku saba?
Buku saba zilifutwa na Shaka kwasasa wana-volunteer ndiyo maana wana hasira kama siafu jike.Nyie kwani bado mnalipwa buku saba?
Hamza alishakufa roho kabla ya kufa mwiliKisa ameua askari ndo amekuwa na malezi mabaya, it's big No
Yawezekana alikuwa na visasi na hao askari katika harakati zao za utafutaji
Hamza kama kweli na angeamua kufa na wengi angeweza kuvaa Bomu kubwa katika ya watu wengi na angekufa na wengi na ndio maana amewaacha raia na kuwafuata askari
Hamza alikuwa mfanyabiashara wa madini, hivyo sio ajabu kumiliki silaha na kujua namna ya kutumia for self defense
Amefanya matukio mangapi?
Tueleze unayoyafahamu kuhusu hamza usiweke habari nusunusu au kimafumbo
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
We unahisi Kila mtu hajui kutumia Chuma Kama wewe ulieamua kubobea kwenye history na geography tuNdio maana igp katukumbusha wazazi kuhusu malezi
Sirro atakua na taarifa nyingi kuhusu makuzi ya hamza
Na aliongea aliyongea yawafikie baba na mama hamza wengine na ma-hamza wao
Kulea hakuna ufundi ila linapokuja swala la kutumia silaha kwa kiwango cha hamza maswali kuhusu historia ya makuzi yake yapo mengi
History na geography zimenisaidia sanaWe unahisi Kila mtu hajui kutumia Chuma Kama wewe ulieamua kubobea kwenye history na geography tu
Mchumba kila mtu anachagua anachokipenda...this is not job interview kuuliza kuhusu ujuzi wangu kuwa umenisaidia Nini.!! Hivo usi judge Hamza kwanini anajua kutumia bunduki...sikulaumu maana ukute kwenye cycle yako kujua kutumia bunduki ni jambo la ajabuHistory na geography zimenisaidia sana
Wewe hiyo kujua kutumia Chuma imekusaidia nini???
Au unasubiri na wewe ukafanye tukio upigwe risasi ufe ukazikwe🙄
Wengi tuMko wangapi mkuu?
Mchumba kila mtu anachagua anachokipenda...this is not job interview kuuliza kuhusu ujuzi wangu kuwa umenisaidia Nini.!! Hivo usi judge Hamza kwanini anajua kutumia bunduki...sikulaumu maana ukute kwenye cycle yako kujua kutumia bunduki ni jambo la ajabu
Wengi tumemjua Hamza baada ya hilo tukio la Salenda bridge,wewe unayejifanya kumjua sana historia yake ndio utuambie hapa amefanya mambo gani mengine mabaya ukiachana na hilo tukio moja.Sasa kama hujui aliyokwisha kuyafanya unawezaje kuja kumtetea hapa
Hakuna kitu kibaya kama kuongea mambo usiyoyajua, tena mambo ya jinai
Wengi tumemjua Hamza baada ya hilo tukio la Salenda bridge,wewe unayejifanya kumjua sana historia yake ndio utuambie hapa amefanya mambo gani mengine mabaya ukiachana na hilo tukio moja.
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Wewe uliyesoma file lake ndio utuambie hapa,sasa watanzania wite wakienda kujazana polisi kuomba file lake patatosha?Kaombe file lake police usome maelezo ya familia
Wewe uliyesoma file lake ndio utuambie hapa,sasa watanzania wite wakienda kujazana polisi kuomba file lake patatosha?
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Kama huusiki na hujui hauna sababu ya kulaumu au kuwafundisha malezi wazazi wa Hamza maana huna unachojua.Sikupewa hilo jukumu la kuja kukuambia. Itakapokua sawa report itatolewa na wahusika
Ila hujui hivyoo
Hakuna kitu kama hicho.Tunawatukana askari kwa sababu tupo kwenye amani.Siku bongo pakinuka pasiwe na amani mtawakumbuka askari hawa hawa mnaowatukana leo.Tuwe na heshima na mipaka kwa askari wetu utani usivuke mipaka