Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,925
kuna mwenzio yy alikuwa na mke 1 akamua kuongeza wapili akaanza mnyanyasa bimkubwa siku anataka kukimbia bimdogo akamsema kwa mmewe akapata kipondo haswa, siku nyingine katoroka karudi kwao baada ya siku 2 dume likamfuata kufika kwao msosi wanguvu ukaandaliwa ile kunawishwa na kula tonge moja viboko vilishushwa na shemeji zake dume la watu liliamuliwa na mjumbe.Hbr Zenu Jf.Mfano Mmegombana Kidogo Na Wife Mara Huyo Kwao Anawambia Mama Yake,baba Yake,makaka,madada,wajomba Halafu Wote Wanakujia Juu Unabaki Mdogo Kama Paka Aliyefumaniwa Akinywa Milk.Wewe Utafanyaje?