Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,127
- 110,899
Ahsante......wanaume wa dar watashinda ndani hadi waone maiti ya chui kwenye tv
Ningesema mimi, wangesema nimewatukana
Ahsante......wanaume wa dar watashinda ndani hadi waone maiti ya chui kwenye tv
yahhAtakuwa mwanaume wa makaburini Kolomije. Kule wakakochamba kwa kutumia magunzi
Mbagala Kuna wamakonde na wamakua hawaogopi mnyama yeyote mkali kwao issue ndogo wanamshughulikia bila hata kuripoti popote mali ya asili na polisi watamkuta alishafariki na kuliwa kitambo.Wataishia kuona nyayo alipokanyaga
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ahsante......
Ningesema mimi, wangesema nimewatukana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ahsante......
Ningesema mimi, wangesema nimewatukana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Atakuwa mwanaume wa makaburini Kolomije. Kule wakakochamba kwa kutumia magunzi
yaani kama maliasili hawajaonesha maiti ya huyo chui jiji litafungwa..pigia na mvua hii wanalialiaaaaaHapo wanaume wa Dar utasikia wanaingia ndani saa 12 jioni na kulala huku wamejikunyata ka simbilisi! Ha ha haa
Sie huku kwetu mkiti angepiga ngoma, then tunaunda kikosi kazi, tunamsaka huyo chui, tunakamata na kumrudisha porini ili akawafaidishe watalii!!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
unataka waitane wakuchambe eehh
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Taadhari wanaume wa dar wasije huku Kuna wazee wa kazjView attachment 1096347
Walioko maofisi ya mjinii wanaokaa huko hawarudi Leo watalala hoteli za gongolamboto na chanika harudi mtu njia hiyo!!!!wanaume wa dar watashinda ndani hadi waone maiti ya chui kwenye tv
Kila mfanyakazi wa serikali wa Dar ataomba uhamisho wa kwenda Dodoma haraka hata Kama alikataa kwenda Kama huyo chui hatapatikana!!!yaani kama maliasili hawajaonesha maiti ya huyo chui jiji litafungwa..pigia na mvua hii wanalialiaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Kila mfanyakazi was serikali wa Dar ataomba uhamisho wa kwenda Dodoma haraka hata Kama alikataa kwenda Kama huyo chui hatapatikana!!!
Wamejifungia ndani kwa hofu na simu wamezima wamezitupa kwenye mvungu wa kitandaWanaume wa goba mkuje