FAKE NEWS: Chui aonekana jijini Dar es salaam

FAKE NEWS: Chui aonekana jijini Dar es salaam

Status
Not open for further replies.

Complicator

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2013
Posts
2,208
Reaction score
3,609
IMG-20190513-WA0088.jpeg
 
Habari zenu ndugu wajumbe,TAARIFA KWA WANA KIBULULU,OFISI YA SERIKALI YA MTAA INAPENDA KUWATAARIFU WANANCHI WOTE KUWA KUNA CHUI AMEONEKANA MAENEO YA ZONE "C"KWA PROF.MSANJILA,HIVYO TUWE NA TAHADHALI WAKATI TUNAWASUBILI MAMLAKA HUSIKA KUFIKA NA KUCHUKUA HATUA ZA HARAKA.

*Note*; Kibululu ni Goba yale maeneo kupita La Stanza, Precious School km unatokea Makongo.
IMG-20190513-WA0088.jpeg
 
Habari zenu ndugu wajumbe,TAARIFA KWA WANA KIBULULU,OFISI YA SERIKALI YA MTAA INAPENDA KUWATAARIFU WANANCHI WOTE KUWA KUNA CHUI AMEONEKANA MAENEO YA ZONE "C"KWA PROF.MSANJILA,HIVYO TUWE NA TAHADHALI WAKATI TUNAWASUBILI MAMLAKA HUSIKA KUFIKA NA KUCHUKUA HATUA ZA HARAKA.

*Note*; Kibululu ni Goba yale maeneo kupita La Stanza, Precious School km unatokea Makongo.View attachment 1096330
Katoroka zoo au?
 
Shule ya precious school ipewe kipaumbele kwenye ulinzi huyo chui asije vamia shule madhara yatakuwa makubwa mno kuliko akivamia mtu mmoja mmoja mtaani
 
Ulinzi upewe kipaumbele shule ya Precious chui akiingia hapo madhara yatakuwa makubwa mno kuliko akivamia mtu mmoja mmoja mtaani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom