Jinsi walivyoibadili katiba jamaa sasahivi anaweza kukaa madarakani kwa miaka 22 kutoka leoNina marafiki zangu wanyarwanda huwaambii kitu kwa Kagame, lakini mie nawapa za uso kwamba jamaa anaua wapinzani na pia kuua upinzani ili atawale milele. Huyu nina wasi wasi anaweza kuwa kama Mugabe au Museveni na kuishia kukaa madarakani kwa miongo mitatu au hata zaidi kama afya yake inaruhusu.
No fair play.Kwahiyo upinzani ukishinda ndio uchaguzi unakuwa halali na sivinginevyo?
Tuendako hata hapa kwa nyumba yanaweza tokea haya! Maana hata Wahenga walisema 'Dalili ya Mvua ni Mawingu'
Sent using Jamii Forums mobile app
BAK ninasikia kile kiti ukishakikalia kukiacha ni vigumu sanaNina marafiki zangu wanyarwanda huwaambii kitu kwa Kagame, lakini mie nawapa za uso kwamba jamaa anaua wapinzani na pia kuua upinzani ili atawale milele. Huyu nina wasi wasi anaweza kuwa kama Mugabe au Museveni na kuishia kukaa madarakani kwa miongo mitatu au hata zaidi kama afya yake inaruhusu.
BAK ninasikia kile kiti ukishakikalia kukiacha ni vigumu sana
Halafu unalalamika Magufuli kabana huku unawaza kujirushaNdiyo imeshaanza rasmi Mkuu, kujirusha kwa sana tu. Vipi wewe Mkuu?
Ni kawaida za akili za kushikiwa,udikteta unaufahamu kweli?. Kungekua na hata chembe ya udikteta nchi hii usingewaza kujirusha wewe,ungejirushia wapi na saa ngapi?,zaidi ungekuwa mahali unalitumikia taifa. Jaribu kuuliza madikteta walivyo au walivyokua kabla hujamuita mtu dikteta. Na bado,upo uhitaji mkubwa sana kwa taifa hili kumpata dikteta,midomo imezidi mno,kama siyo sasa,awamu yangu nitakuwa full dikteta,watu mfanye kazi,siyo kujirusha.Acha ujinga wewe udikteta uchwara na kujirusha kwangu hakuna mahusiano yoyote yale! Na hata kama watu wanajirusha haibadili ukweli kwamba dikteta uchwara na sekta zake MUFILISI kaangusha uchumi wa nchi.
JAMAA ALIKUWA ANASHINDANA YEYE MWENYEWE
Na alivomwembamba hivo wanashindwaje kumtoa kwa nguvu..Wakae hata maisha lakini wafanye mazuri kwa wananchi wao na wanapokosea na raia na wapinzani wasikilize na wajirekebishe badala ya kutaka kuwaua. Huyu Kagame kishaua wapinzani wake wengi sana hadi ndani ya jeshi.
Hakuna aisee ndiyo yale yale ya fake election zinatumika billions chungu nzima wakati matokeo yanajulikana wazi. Nilifurahia sana uchaguzi wa Ghana upinzani kushinda na kupewa nchi bila kumwaga damu. Sijui kama hili litakuja kutokea hapa kwetu.