Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,122
Shinyanga, dereva wa shika kapiga 113kph kwenye barabara ya 50kph,
Baada ya faini, kapicha kakapendeza
Mpaka kupata heshima ya kuwa Mgeni rasmi kwenye mahali ya chuo, si mchezo..Dk shika kwasasa anajulikana sana Tanzania.
Alikua Kahama (sina hakika sana) alienda kwenye mahafali ya chuo cha afya naskia alikua mgeni rasmiDr raha sana, alikuwa wapi before
Huyu jamaa ni next level,Dunia hii kuna watu majasiri sana yaani kitendo cha Dk tu kusimama mbele ya hadhara ya mnada na kuudhihilishia umma na yeye ni miongoni wa matajiri mimi nilicheka sana
Hilo shati ndio ID yake mkuuAnapenda sana shati (aina) hilo!
Uzuri wa dokta shika yupo sana socialDunia hii kuna watu majasiri sana yaani kitendo cha Dk tu kusimama mbele ya hadhara ya mnada na kuudhihilishia umma na yeye ni miongoni wa matajiri mimi nilicheka sana
Analo moja mkuuAnapenda sana shati (aina) hilo!
Mwenzio ni dokta wa binadamu ujue..! Sasa unasema unachohisi akiona vile atakuvutia...Mwambieni avae viatu sasa loh
Sijakuelewa hataMwenzio ni dokta wa binadamu ujue..! Sasa unasema unachohisi akiona vile atakuvutia...
We unayo mangapiAnalo moja mkuu