Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,569
Mtampromo Dr. hadi wazee wa Vodka wajue kua yupu hai wamfuate.
Yan automatically huyu mzee kashakua celeb hapa bongo.Mtampromo Dr. hadi wazee wa Vodka wajue kua yupu hai wamfuate.
Kupata bahati ya kugonga picha na Dr. Shika ni lulu.Naona askari mwenyewe anafurahia bahati ya kumpiga fine Dr Shika
Majira yake yalikuwa hayajawadiaDr raha sana, alikuwa wapi before
Aisee haya majira sasa yamemjia pabaya sana.. Jus imagine yangemjia ujananiMajira yake yalikuwa hayajawadia
Ujanani alitesa na kampuni nonoAisee haya majira sasa yamemjia pabaya sana.. Jus imagine yangemjia ujanani
Hilo shati ndilo limemuweka next level....Anapenda sana shati (aina) hilo!

Hiyo ndio brandy yake mkuu....Afu anapenda kuniga ulimi balaa...chini sendoz...

Dr Shika ili aendelee kunoga, itapendeza akivaa vile vile kama siku alipokua kwenye mnada wa LugumiMwambieni avae viatu sasa loh
haise jamaa ameteka mitandao ya kijamii, nawaona mabinti wa FastjetKupata bahati ya kugonga picha na Dr. Shika ni lulu.
Umeona picha juu hapo. Mabinti wa fast jet meno njeeee
Naona kwa mzee amechanga karata zake kiufundi sana. Vuta picha siku ndio mpunga wake toka urusi unaingia kwenye akauntiDocta yu makin sana kucheza na akili za watu itakuwa ana madin ya saikolojia kichwani



Yangemjia ujanani, slim ingemuhusu..Aisee haya majira sasa yamemjia pabaya sana.. Jus imagine yangemjia ujanani

How...Docta yu makin sana kucheza na akili za watu itakuwa ana madin ya saikolojia kichwani

Angesumbua sana hapa mjini.Aisee haya majira sasa yamemjia pabaya sana.. Jus imagine yangemjia ujanani
Hiyo ni identity yakeAnapenda sana shati (aina) hilo!
Hahaa sidhani bwana wakati mwingine awe anatoka smart kama Dr kwelikweliDr Shika ili aendelee kunoga, itapendeza akivaa vile vile kama siku alipokua kwenye mnada wa Lugumi