Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 2,246
- 7,110
Moja Kwa moja kwenye pointi.
Ilisemwa siku nyingi kua, Morocco Ina nguvu sana CAF,
Ikasemwa sana Mmiliki wa RS Berkane ni Kiongozi wa Chama Cha soka Cha Morocco,
Wakatiki huohuo yeye huyo ni Makamu wa Rais wa CAF,
Na anatajwa kua ni mjumbe muhimu katika ngazi za Viongozi huko FIFA.
Rais wa CAF ni mmiliki wa Mamelody Sundowns ambayo nayo iko fainali dhidi ya Pyramids ya Misri katika michuano ya kombe la washindi.
Wote Hawa Wana conflicts of Interest katika michuano ya mwaka huu.
Yaani mmiliki wa Mamelody Sundowns timu yake inacheza kombe la washindi na mmiliki wa RS Berkane timu yake inacheza kombe la shirikisho,
Yaani hapa ni Rais ana timu yake na makamu wa pili wa Rais ana timu yake na zote zimeingia fainali.
Je kwa hatua hii nani kati ya Rais na makamu wa Rais anaweza kua na ujasisri wa kumtaka mwenzake atende haki?
Vita ya Simba vs RS Berkane ilibadikika na kua ni vita baina ya Simba vs CAF Kwa faida ya RS Berkane kwa manufaa ya makamu wa pili wa Rais wa CAF ambae ni mmiliki wa RS Berkane.
Vita ya kwanza ilianza kujaribu kuwatoa mchezoni Simba Kwa kuwatangazia kua mchezo wa fainali huko Tanzania hautachezewa kwa Mkapa Bali utachezewa Zanzibar,tamko hilo lilitoka siku mbili kabla ya mchezo wa kwanza wa fainali uliotatajiwa kuchezwq baina ya Simba vs RS Berkane Morocco,Hali hii ilikusudiwa kuwatoa mchezoni Simba,na of course iliwatingisha.
Simba walijaribu kupambana ili kupata haki Yao ya kucheza kwenye uwanja wao wa asili wa nyumbani wa miaka yote lakani CAF ikalazimisha fainali itachezwa Zanzibar.
Serikali ya Tanzania ilifanya hatua zote kuutengeneza uwanja Kwa wakati na kwa vigezo vya CAF na mamlaka husika ya utabiri wa Hali ya hewa ikathibitisha kua, siku ya mchezo wa fainali hakutakua na mvua Dar es salaam,(na kweli siku ya 22,23,24 na 25 yenyewe hakukua na mvua Dar es salaam),CAF wakasisitiza mchezo uchezwe Zanzibar.
Siku ya fainali uwanjani.
Mechi kubwa kama hiyo,mechi ya fainali ni mechi ya rufaa,ni mechi ya hukumu,ni mechi ya maamuzi,ilipaswa kua mechi ya usawa na haki na haki ionekane kutendeka kwa pande zote mbili.
Mechi ilistahili VAR itumike ili kuondoa utata na lawama , lakini pamoja na ukubwa wa mechi yenyewe VAR haikutumika.
Unaweza ukadhani haikutumika Kwa bahati mbaya,lakini sio kweli,Bali ikijua ni sehemu ya mikakati na makusudi maalumu ya CAF kuishinda Simba Kwa manufaa ya RS Berkane.
Simba ilipata goli la kwanza kupitia Budo na ikapata goli la pili kupitia Mukwala, ambalo lilikataliwa kwa kile kilichosemwa ni off side, lakini bila kithipbitisho cha VAR, ili angalau kuondoa lawama.
Sasa VAR kazi yake ni Nini?(Wazungu wantushangaa sana hapa)
Hata hivyo Kwa vile CAF walikua wako vitani na Simba naamini hata kama VAR ingeonesha hakuna off side,naamini bado mwamuzi asingelikubli goli hili kwa sababu, ni yeye peke yake ndio wenye kauli na maamuzi ya mwisho baada ya kuitazama VAR.
Kadi nyekundu Kwa Kagoma haikustahili kabisa katika fainali.
Kwa uzoefu wangu fainali hua hazitoki sana kadi nyekund, Bali maonyo ya mdomo ya refa kumkemea na kumuonya kwa mdomo mchezaji ili kuziwezesha timu zinazocheza fainali kucheza kwa usawa na haki ili kupata bingwa asie na utata.(mfano,mara chache sana kadi nyekundu siku za fainali.
Kadi hutolewa TU, kama mchezaji alikusudia kumuumiza au kumjeruhi mpinzani wake)Kagoma hakua na mpango wa kumuumiza yule jamaa,Bali alikua anaenda kukata umeme,yaani kunyang'anya mpira.
Na alifanikiwa kuugusa mpira,
isipokua mchezaji wa CAF alitumia nafasi hiyo kujiangusha.
Hapa inaonesha refa ni kama alikua anaisubiri fursa hii kwa muda mrefu na akaitumia vilivyo kumpa kadi nyekundu Kagoma.
Tumeona kwenye mashindano ya wenzetu Ulaya kwenye hatua kama hii Kwa mazingira kama ya Kagoma, marefa hua wanapeta,ama humuita mchezaji na kumueleleza awe makini na uchezaji wake Kwani unaweza kuigharimu timu bila kutoa kadi kabisa,kwa sababu wanajua kua wachezaji wengine hufanya hila,ujanja na udanganyifu wa kuwatafutia wapinzani wao kadi nyekundu na hata penati.
Mimi naamini refa alikua amepangwa kuwadhoofisha Simba, endapo ataona Simba Wanacheza vizuri kuliko RS Berkane,na ikiwa wako katika nafasi ya kurudisha magoli yatakqyo wawezesha kushinda.
Ukweli Simba walionesha wazi kabisa wanaenda kushinda mechi hiyo.
Amini nakuambia,kama kabla ya kutolewa Kagoma, mfano RS Berkane angekua tayari amesha mfunga Simba,mfano goli moja bila au mbili bila, na Kagoma akafanya kile kilichotokea, refa wala asinge mpa kadi nyekundu.
Kadi lie ilikua ni mahsusi kwa ajili ya kuwapunguza nguvu Simba ili wasiiaibishe RS Berkane, kwa magoli mengi.
Na ukweli ni kwamba, pengo la Kagoma liliiathiri Simba pakubwa,licha ya Simba kucheza vizuri sana wakiwa pungufu,lakini wagecheza vizuri sana kama Kagoma angeendelea kuwemo.
Kagoma asingetolewa RS Berkane wasingeweza kupata hata goli moja,
Simba wangepata magoli zaidi ya mawili .
Kwa kifupi Simba hawakucheza na RS Berkane,Bali Simba walicheza na CAF.
Simba kubadilishiwa uwanja wao wa asili katikati ya mashindano kuliwaathiri,
Kagoma kupewa kadi nyekundu kionevu kuliwaathiri,
Kukataliwq goli la Mukwala kuliwaathiri.
Goli kama hilio lingekia limefungwa na RS Berkane lingekubaliwa.
Kusingekua na maelekezo kutoka chumba Cha VAR ya kulikataa goli.
RS Berkane walishinda kwao na Simba tulishinda kwetu.
RS Berkane ni wazuri,lakini Simba alikua mzuri kuwashinda wao siku ya fainali,ushahidi ni ball possession ilivyokua inasoma, Simba ilikua 66. wakati RS Berkane 33.
Wakati huohuo Simba ikiwa mbele Kwa goli moja na jingine lilikataliwa na wakiwa pungufu.
Simba ilishindwa na CAF sio RS Berkane,
Bingwa wa CAFCC 2025 ni CAF .
Ilisemwa siku nyingi kua, Morocco Ina nguvu sana CAF,
Ikasemwa sana Mmiliki wa RS Berkane ni Kiongozi wa Chama Cha soka Cha Morocco,
Wakatiki huohuo yeye huyo ni Makamu wa Rais wa CAF,
Na anatajwa kua ni mjumbe muhimu katika ngazi za Viongozi huko FIFA.
Rais wa CAF ni mmiliki wa Mamelody Sundowns ambayo nayo iko fainali dhidi ya Pyramids ya Misri katika michuano ya kombe la washindi.
Wote Hawa Wana conflicts of Interest katika michuano ya mwaka huu.
Yaani mmiliki wa Mamelody Sundowns timu yake inacheza kombe la washindi na mmiliki wa RS Berkane timu yake inacheza kombe la shirikisho,
Yaani hapa ni Rais ana timu yake na makamu wa pili wa Rais ana timu yake na zote zimeingia fainali.
Je kwa hatua hii nani kati ya Rais na makamu wa Rais anaweza kua na ujasisri wa kumtaka mwenzake atende haki?
Vita ya Simba vs RS Berkane ilibadikika na kua ni vita baina ya Simba vs CAF Kwa faida ya RS Berkane kwa manufaa ya makamu wa pili wa Rais wa CAF ambae ni mmiliki wa RS Berkane.
Vita ya kwanza ilianza kujaribu kuwatoa mchezoni Simba Kwa kuwatangazia kua mchezo wa fainali huko Tanzania hautachezewa kwa Mkapa Bali utachezewa Zanzibar,tamko hilo lilitoka siku mbili kabla ya mchezo wa kwanza wa fainali uliotatajiwa kuchezwq baina ya Simba vs RS Berkane Morocco,Hali hii ilikusudiwa kuwatoa mchezoni Simba,na of course iliwatingisha.
Simba walijaribu kupambana ili kupata haki Yao ya kucheza kwenye uwanja wao wa asili wa nyumbani wa miaka yote lakani CAF ikalazimisha fainali itachezwa Zanzibar.
Serikali ya Tanzania ilifanya hatua zote kuutengeneza uwanja Kwa wakati na kwa vigezo vya CAF na mamlaka husika ya utabiri wa Hali ya hewa ikathibitisha kua, siku ya mchezo wa fainali hakutakua na mvua Dar es salaam,(na kweli siku ya 22,23,24 na 25 yenyewe hakukua na mvua Dar es salaam),CAF wakasisitiza mchezo uchezwe Zanzibar.
Siku ya fainali uwanjani.
Mechi kubwa kama hiyo,mechi ya fainali ni mechi ya rufaa,ni mechi ya hukumu,ni mechi ya maamuzi,ilipaswa kua mechi ya usawa na haki na haki ionekane kutendeka kwa pande zote mbili.
Mechi ilistahili VAR itumike ili kuondoa utata na lawama , lakini pamoja na ukubwa wa mechi yenyewe VAR haikutumika.
Unaweza ukadhani haikutumika Kwa bahati mbaya,lakini sio kweli,Bali ikijua ni sehemu ya mikakati na makusudi maalumu ya CAF kuishinda Simba Kwa manufaa ya RS Berkane.
Simba ilipata goli la kwanza kupitia Budo na ikapata goli la pili kupitia Mukwala, ambalo lilikataliwa kwa kile kilichosemwa ni off side, lakini bila kithipbitisho cha VAR, ili angalau kuondoa lawama.
Sasa VAR kazi yake ni Nini?(Wazungu wantushangaa sana hapa)
Hata hivyo Kwa vile CAF walikua wako vitani na Simba naamini hata kama VAR ingeonesha hakuna off side,naamini bado mwamuzi asingelikubli goli hili kwa sababu, ni yeye peke yake ndio wenye kauli na maamuzi ya mwisho baada ya kuitazama VAR.
Kadi nyekundu Kwa Kagoma haikustahili kabisa katika fainali.
Kwa uzoefu wangu fainali hua hazitoki sana kadi nyekund, Bali maonyo ya mdomo ya refa kumkemea na kumuonya kwa mdomo mchezaji ili kuziwezesha timu zinazocheza fainali kucheza kwa usawa na haki ili kupata bingwa asie na utata.(mfano,mara chache sana kadi nyekundu siku za fainali.
Kadi hutolewa TU, kama mchezaji alikusudia kumuumiza au kumjeruhi mpinzani wake)Kagoma hakua na mpango wa kumuumiza yule jamaa,Bali alikua anaenda kukata umeme,yaani kunyang'anya mpira.
Na alifanikiwa kuugusa mpira,
isipokua mchezaji wa CAF alitumia nafasi hiyo kujiangusha.
Hapa inaonesha refa ni kama alikua anaisubiri fursa hii kwa muda mrefu na akaitumia vilivyo kumpa kadi nyekundu Kagoma.
Tumeona kwenye mashindano ya wenzetu Ulaya kwenye hatua kama hii Kwa mazingira kama ya Kagoma, marefa hua wanapeta,ama humuita mchezaji na kumueleleza awe makini na uchezaji wake Kwani unaweza kuigharimu timu bila kutoa kadi kabisa,kwa sababu wanajua kua wachezaji wengine hufanya hila,ujanja na udanganyifu wa kuwatafutia wapinzani wao kadi nyekundu na hata penati.
Mimi naamini refa alikua amepangwa kuwadhoofisha Simba, endapo ataona Simba Wanacheza vizuri kuliko RS Berkane,na ikiwa wako katika nafasi ya kurudisha magoli yatakqyo wawezesha kushinda.
Ukweli Simba walionesha wazi kabisa wanaenda kushinda mechi hiyo.
Amini nakuambia,kama kabla ya kutolewa Kagoma, mfano RS Berkane angekua tayari amesha mfunga Simba,mfano goli moja bila au mbili bila, na Kagoma akafanya kile kilichotokea, refa wala asinge mpa kadi nyekundu.
Kadi lie ilikua ni mahsusi kwa ajili ya kuwapunguza nguvu Simba ili wasiiaibishe RS Berkane, kwa magoli mengi.
Na ukweli ni kwamba, pengo la Kagoma liliiathiri Simba pakubwa,licha ya Simba kucheza vizuri sana wakiwa pungufu,lakini wagecheza vizuri sana kama Kagoma angeendelea kuwemo.
Kagoma asingetolewa RS Berkane wasingeweza kupata hata goli moja,
Simba wangepata magoli zaidi ya mawili .
Kwa kifupi Simba hawakucheza na RS Berkane,Bali Simba walicheza na CAF.
Simba kubadilishiwa uwanja wao wa asili katikati ya mashindano kuliwaathiri,
Kagoma kupewa kadi nyekundu kionevu kuliwaathiri,
Kukataliwq goli la Mukwala kuliwaathiri.
Goli kama hilio lingekia limefungwa na RS Berkane lingekubaliwa.
Kusingekua na maelekezo kutoka chumba Cha VAR ya kulikataa goli.
RS Berkane walishinda kwao na Simba tulishinda kwetu.
RS Berkane ni wazuri,lakini Simba alikua mzuri kuwashinda wao siku ya fainali,ushahidi ni ball possession ilivyokua inasoma, Simba ilikua 66. wakati RS Berkane 33.
Wakati huohuo Simba ikiwa mbele Kwa goli moja na jingine lilikataliwa na wakiwa pungufu.
Simba ilishindwa na CAF sio RS Berkane,
Bingwa wa CAFCC 2025 ni CAF .