Duh!...Fainali ya CAF CC itapigwa Zanzibar, CAF wameindikia barua TFF & Simba kuwajulisha. CAF haijaridhishwa na pitch ya kwa mkapa hasa wakati wa mvua.
airtel stadium Singida, kmc complex, Meg.Gen. Isamuhyo Stadium, na Azam complex vinaweza kutumika pia kwa michuano hiyo. Tz hakuna tena uhaba wa viwanja vyenye viwango vya kimataifa vya kuchezea mpira wa miguu nchiniHongera sana Mama samia kwa kuipeleka fainali Zanzibar. Naomba utambue tu mimi na vijana wako Tlaatlaah na Lucas Mwashambwa hakika tumefurahi sana kwa kweli.
