johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,825
- 143,289
Imeelezwa kuwa tozo zimeibua maendeleo mbalimbali huko majimboni na kwamba katika bunge lijalo wabunge watatakiwa kuelezea maendeleo hayo.
Hayo yamesemwa na mbunge wa Geita Vijijini Dr Joseph Kasheku.
Source: Star tv
Hayo yamesemwa na mbunge wa Geita Vijijini Dr Joseph Kasheku.
Source: Star tv