johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,778
- 145,708
Imeelezwa kuwa tozo zimeibua maendeleo mbalimbali huko majimboni na kwamba katika bunge lijalo wabunge watatakiwa kuelezea maendeleo hayo.
Hayo yamesemwa na mbunge wa Geita Vijijini Dr Joseph Kasheku.
Source: Star tv
Hayo yamesemwa na mbunge wa Geita Vijijini Dr Joseph Kasheku.
Source: Star tv