johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,985
- 142,002
Mbunge wa Geita Vijijini mh Kasheku amesema Tozo walizipitisha wao bungeni na zitaendelea kuwepo kwa sababu zina manufaa makubwa
Msukuma amesema Tozo zimeasisiwa na hayati Maguful kupitia bunge na siyo awamu hii ya 6
Msukuma amesema yeye ni mbunge wa wananchi lakini pia anaitumikia serikali ndio sababu ataendelea kuitetea daima
Msukuma amesema kesho atakutana na Waandishi wa Habari kutolea ufafanuzi malalamiko ya Makato ya Benki na atakuwa mubashara kwenye television zaidi ya sita
Source: Star tv The Big Agenda
Msukuma amesema Tozo zimeasisiwa na hayati Maguful kupitia bunge na siyo awamu hii ya 6
Msukuma amesema yeye ni mbunge wa wananchi lakini pia anaitumikia serikali ndio sababu ataendelea kuitetea daima
Msukuma amesema kesho atakutana na Waandishi wa Habari kutolea ufafanuzi malalamiko ya Makato ya Benki na atakuwa mubashara kwenye television zaidi ya sita
Source: Star tv The Big Agenda