Faida za Mtama

.. ni kimea kizuri kwa kutengenezea pombe
 
Naskia lishe ya mtama inaongeza heshma hasa kwa wanaume wa daslam...teh😜
 
Mtama ni jina la general humo humo kuna serena nyeupe/nyekundu,uwele nk hata ukienda kununua mbegu watakuuliza unataka mtama aina gani? sisi kuna aina zaidi ya aina 5 za mtama ukiwemo na uwele
Inawezekana Mkuu, maana nipo na wagogo wanasema ni tofauti,Labda kwa hapo kisayansi kuwa ni aina ya mbegu,nakubsliana na Wewe!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…