klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Baada ya kufanya resechi wiki 2 mfululizo mimi na ex wangu bila waifu kujua, tumegundua kumbe hata maharage pia yana faida (hii ni habari njema kwa walalahoi), nitazitaja faida kwa kiswahili.
NB: hii sredi yangu naomba isiwe sababu ya kupandishwa bei ya maharage nchini.
Faida za maharage
1) Maharage yanasaidia kumlinda mtu kutokana na safura (anaemia) kwavile yana Iron nyingi (hii ni Iron ya mineral sio chuma cha kuulia mwizi)
2) Maharage yana fibre nyingi kwahiyo yanasaidia kwenye shuhuli ya maliwatoni iwe bila kutoka jasho (inasaidia kuondosha constipation)
3) Maharage yanajenga misuli, ndo maana jamaa wa uswahilini ni tabu sana kuwaibia wake zao.
4)Inapunguza kolesterol (kitambi si sifa wajameni)
5) Pia inasadikiwa kulinda na kutibu sukari.
Ujumbe: kanunueni maharage haraka haraka kabla hayajapotea sokoni.
Nimemaliza,
hakuna masuali wala mkopo.
NB: hii sredi yangu naomba isiwe sababu ya kupandishwa bei ya maharage nchini.
Faida za maharage
1) Maharage yanasaidia kumlinda mtu kutokana na safura (anaemia) kwavile yana Iron nyingi (hii ni Iron ya mineral sio chuma cha kuulia mwizi)
2) Maharage yana fibre nyingi kwahiyo yanasaidia kwenye shuhuli ya maliwatoni iwe bila kutoka jasho (inasaidia kuondosha constipation)
3) Maharage yanajenga misuli, ndo maana jamaa wa uswahilini ni tabu sana kuwaibia wake zao.
4)Inapunguza kolesterol (kitambi si sifa wajameni)
5) Pia inasadikiwa kulinda na kutibu sukari.
Ujumbe: kanunueni maharage haraka haraka kabla hayajapotea sokoni.
Nimemaliza,
hakuna masuali wala mkopo.