Faida za kuoa mke "kicheche"

Labda awe mwanamke wa ngono tu, hizo sifa haziwezi kukufanya ukawa na mke bora ndani ya nyumba yako
 
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Lengo la ndoa ni kukufanya uwe "at home" lkn walio na wife material wako kwenye "house" tu.
Lengo la ndoa ni Kujenga mazingira rafiki watoto kukua, haijalishi mkeo ni GOGO chumbani ila ajenda ni watoto
 
Labda awe mwanamke wa ngono tu, hizo sifa haziwezi kukufanya ukawa na mke bora ndani ya nyumba yako
Labda mkuu utusadie vigezo vya mke bora. Halafu tuanzie hapo
 
Imani yako inakuambia nini, jibu linaanzia hapo
Mtoto ng'aring'ari (rangi ya mtume)
Mtoto mashalaa (ana nyashi).
Mtoto shepu ya nguva.

Ndiyo maana moja ya vivutio ktk Quran tukufu ni kwamba wanaume tukienda peponi tutapewa wake 70 kila mmoja waziri kweli kweli.
 
Mtoto ng'aring'ari (rangi ya mtume)
Mtoto mashalaa (ana nyashi).
Mtoto shepu ya nguva.

Ndiyo maana moja ya vivutio ktk Quran tukufu ni kwamba wanaume tukienda peponi tutapewa wake 70 kila mmoja waziri kweli kweli.
Imani yako inakuchanganya, lazima uchanganikiwe sana... Mambo ya kuoa na kuolewa tutayaacha hapa hapa Duniani
 
Rangi nzuri ni ya mtume, zilizobakia zote mbaya. Ndiyo maana hakunaga mwanamke anatumia mkorogo ili awe mweusi.
Mi natafuta Ke weusi kama madini ya rubies, sijawahi na sitawahi kuweweseka na Ke weupe tangu utotoni .

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
unautani na demu kicheche ety ?
nyumbani ukirudi unamkutaje kwa mfano ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜
 
Dah yani hamjulikani mnahitaji nini
#fear men๐Ÿ’”
 
Faida ya mke kicheche ni kama sio mke wako, akiwa wako hasara ni ๐Ÿ’ฏ
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ