FAIDA ZA KUISHI ............... bila mpendhi

FAIDA ZA KUISHI ............... bila mpendhi

FAIDA 10 ZA KUISHI BILA MPENZI
1:Unalala vizuri
2:Hujali unavyoonekana
3:Hakuna sms usiku wa manane
4:Unaweza kuongea na yeyote
5:Utaishi maisha marefu bila kubughudhiwa na
mtu
6:Utaepukana na fitina za watu
7:Utaepukana na ugomvi usio wa lazima
8:Hutakuwa mwenye kudanganyana
9:Utatulia kimawazo
10:Utajihisi uko huru kwa maamuzi yako .JARIBU
UONE.!

Utapiga sana puli ktk maisha yako hadi uathiriwe kisaikolojia(Hii ni kwa mwanamme na mwanamke pia)
 
no 3 ;5;9; hizi nina wasi nazo usipokuwa na mpenthi kwangu mimi ni stress tu mwanzo niliamini ni uhuru but baada yakuwa mwenyewe kwa muda nina stress hakuna mfano na kukasirika bila sababu

Njoo nikufanyie maombi..
Hilo pepo la hasira na stress litashindwa mara moja...
 
Hapo kwenye namba moja labda kama utakuwa umetoboa kitundu katikati ya godoro uwe unanyooshea nanii humo mpaka asubuhi...otherwise lazima ukose usingizi maana jamaa litasumbua sana na hukiwa huna uhakika wa papuchi utaumiaaaaaa

kama analalia ngozi ya ng'ombe, mkeka au box itakuwaje?
 
no 3 ;5;9; hizi nina wasi nazo usipokuwa na mpenthi kwangu mimi ni stress tu mwanzo niliamini ni uhuru but baada yakuwa mwenyewe kwa muda nina stress hakuna mfano na kukasirika bila sababu

I hope u're not looking for a bf, are you?
 
Above all....I spend for myself. Hakuna kuhonga wala kutoa zawadi wala surprise birthday. Utakuwa umepiga hatua kubwa kiuchumi.
 
FAIDA 10 ZA KUISHI BILA MPENZI
1:Unalala vizuri
2:Hujali unavyoonekana
3:Hakuna sms usiku wa manane
4:Unaweza kuongea na yeyote
5:Utaishi maisha marefu bila kubughudhiwa na
mtu
6:Utaepukana na fitina za watu
7:Utaepukana na ugomvi usio wa lazima
8:Hutakuwa mwenye kudanganyana
9:Utatulia kimawazo
10:Utajihisi uko huru kwa maamuzi yako .
11:Utakaribisha ubakaji
12:Maendeleo yako yatakuwa duni
13:Mashuka yako yatajaa ramani za nchi mbali mbali.
 
FAIDA 10 ZA KUISHI BILA MPENZI
1:Unalala vizuri
2:Hujali unavyoonekana
3:Hakuna sms usiku wa manane
4:Unaweza kuongea na yeyote
5:Utaishi maisha marefu bila kubughudhiwa na
mtu
6:Utaepukana na fitina za watu
7:Utaepukana na ugomvi usio wa lazima
8:Hutakuwa mwenye kudanganyana
9:Utatulia kimawazo
10:Utajihisi uko huru kwa maamuzi yako .JARIBU
UONE.!

Ndugu zangu inawezekana kuishi bila mpenzi ila si kwa hapa Dar kwani kama hujui kutongoza watajileta wenyewe hata kwa hela na unapokuwa na makundi ndo kabisa umepotea maana watasababisha uwe na jina baya la kitombi ila nakupa siri moja kama unataka hata mwanamke akivua nguo mbele yako mboo isisimame jaribu kufanya mazoezi ya kung fu ili kuepukana na uzinzi
 
Ndugu zangu inawezekana kuishi bila mpenzi ila si kwa hapa Dar kwani kama hujui kutongoza watajileta wenyewe hata kwa hela na unapokuwa na makundi ndo kabisa umepotea maana watasababisha uwe na jina baya la kitombi ila nakupa siri moja kama unataka hata mwanamke akivua nguo mbele yako mboo isisimame jaribu kufanya mazoezi ya kung fu ili kuepukana na uzinzi

Mmmh kitombi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom