Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ufisadi ni ufisadi tuJamani tukubali yaishe tu...
Ufisadi ni ufisadi tuJamani tukubali yaishe tu...
Uwekezaji usio na tija ambao ni hasara kubwa kwa taifaTuzungumzie Umuhimu wa Chato International Airport Kwa Uchumi wa nchi yetu ya Tanzania
Bila shaka hujui maana ya international airportTuzungumzie Umuhimu wa Chato International Airport Kwa Uchumi wa nchi yetu ya Tanzania
Tuzungumzie Umuhimu wa Chato International Airport Kwa Uchumi wa nchi yetu ya Tanzania
Tuzungumzie Umuhimu wa Chato International Airport Kwa Uchumi wa nchi yetu ya Tanzania
Hauna umuhimu ni sawa na BAZOLITE INTERNATIONAL AIRPORT wa MABUTU. ingependeza uwe CHATO NATIONAL BASKETBALL STADIUM, kwavile chini ni sakafu ya lami.Tuzungumzie Umuhimu wa Chato International Airport Kwa Uchumi wa nchi yetu ya Tanzania
Umuhimu wa KIA international airport ni upiTuzungumzie Umuhimu wa Chato International Airport Kwa Uchumi wa nchi yetu ya Tanzania
UbarikiweKatika watu wenye mawazo ya ovyo wew wa kwanza. Umejitaidi kutoooa takwimu ili kujenga hoja ila nikiwa Mtalaam wa hayo mambo nakuona kinachokusumbua ni muhemuko tu. Hoja ni kwanin uwanja wa Kimataifa ujenge chato7 ulitakiwa ujikite hapo tu...
Rubbish hujui chochote kaa kimya unajua huko kuna wanayama miaka mingi sana, humu so mahala kwenu nenda JF ya wajimga wenzio hukoWewe mleta Post unapajua CHATO au umetumwa kuleta post hapa,
CHATO ni kijijini kabisa, mbuga ya wanyama haina hata wanyama, hadi wasombwe kwa magali ya Jeshi, na wakigikishwa polini hawakai, kwa akili ya kawaida hata ya chekechea, toka uwanja huo wa CHATO ufunguliwe, Kuna ndege ngapi zimepeleka watalii, zaidi ya ndege ya mseveni na ndege ya Ikulu yetu?...