KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,075
Faida za kiafya za magimbi (Arrow root):
Magimbi yana virutubisho kama vitamini C, E na B6. pia madini ya potassium, phosphorus, shaba, magnessium na manganese. Pia magimbi yana protini na fati
■ Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari hufanya isipande.
■ Hupunguza kasi ya mmeng’enyo wa chakula
■ Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo na mishipa ya damu.
■ Magimbi yana chembeche,ambazo zinazoongeza kinga ya mwili dhidi ya aina mbalimbali za Saratani.
■ Husaidia katika kupunguza uzito
■ Huboresha afya ya utumbo
■ Hulinda mwili dhidi ya mashambulizi
■■ Pia hutibu vidonda vya tumbo
Limenye vizuri kisha katakata vipande vidogo vidogo!
Kisha lianike sehemu salama!
Kisha likikauka twanga halafu unga wake uchanganye na asali mbichi .
Matumizi yake:
Lamba vijiko 2x3
Ndani ya wiki mbili utakuwa umepona kabisa.
Au weka vijiko viwili kwenye maji ya moto au uji .
Pamoja na kijiko kimoja cha asali koroga kunywa kikombe kimoja mara mbili kwa siku kila siku kwa siku 14.
Asili huponya