Mkakatika
Member
- Nov 15, 2009
- 52
- 8
Wanajamvi ninaomba ushauri wenu kuhusu faida za certifications za IT hapa bongo. Pia certifications ambazo zina soko hapa bongo. Zipo nyingi ninzozijua mimi ni CCNA, CCNP, MCSE, CERIFICATION ZA DATABASE-ORACLE na CISA,CISM.
Msaada tafadhalini ili niamue nisome nini kati ya hizo juu na nyingine kama zipo.
Msaada tafadhalini ili niamue nisome nini kati ya hizo juu na nyingine kama zipo.