Mkuu umekaa vizuri ukawaza kwa kina kuhusu hilo? Kiongozi ni Tajiri kuliko wewe boss muda wowote anaweza kuyumbisha mazingira yako ya biashara ukashindwa kufanya biashara.
Nilichogundua nabishana na watu wanaoona uchumi katika macho ya JPM na kundi lao. Niwaulize , kwanini leo hii nchi yetu imeamua kwenda kuwabembeleza matajiri warudi? Kama mallmlaka ina nguvu kwanini tunarudi kuwabembeleza matajiri waje kuwekeza?
nasimama na wafanyabiashara hawa ndo wanaeendesha hii nchi labda na mikopo kutoka nje ambayo nayo ni ela za wafanyabiashara serikali haina kiburi cha kuwavimbia wafanyabiashara ni vile tu tunawachagua watuongoze..
Penda kujifunza kwanza, usilete ujuwaji na ubishi wa kishamba!
Nakuuliza swali: Kati ya serikali (mamlaka) (dola) na wafanyabiashara nani ana nguvu ya kweli?Nani mwenye fedha kumzidi mwenzake?
Huko duniani kukoje? Tajiri anaweza kuivimbia serikali?
Where Is Alibaba Founder Jack Ma? What the Saga of One of the World’s Richest Men Reveals About China Under Xi Jinping
On Nov. 2, Ma was summoned by Chinese authoritiesfor questioning. The next day, the $37 billion IPO of Alibaba’s fintech arm Ant Financial—touted as a record-breaking offering—was nixed by China’s securities watchdog despite it earlier having received a green light. By late December, regulators had instructed Ant Group to restructure its operations to adhere to new anti-monopoly rules, shaving billions off its valuation.
The Alibaba founder, who is personally worth $48.2 billion, has now not been seen in public for at least two months.
time.com
The Yukos Case: An Old Russian Wrong Keeps Haunting President Putin
Mikhail Khodorkovsky, the oligarch who controlled Yukos and who was once Russia’s richest man, fell into the second category: he did not quite abide by the new Kremlin rules, openly criticised Putin and began funding opposition parties. Retribution was swift. Arrested at an airport in Siberia in 2003, Khodorkovsky received a nine-year jail term on charges of embezzlement and tax fraud
Owners of a company Russian President Vladimir Putin confiscated for political reasons have finally extracted justice from a court in the West. But Russia is unlikely to respect the ruling. Nor is it likely to respect international law.
rusi.org
Bongo je?
Manji mahakamani Kisutu
Manji amefikishwa mahakamani leo ikiwa ni siku ya nane tangu alipojisalimisha na kushikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam, alopoitikia wito wa Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda ili kuhojiwa.
Mfanyabiashara maarufu nchini na mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusufu Manji amefikishwa mahakamani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
www.mwananchi.co.tz
Mwisho wake:
TRA shuts Manji firm over Sh12bn tax bill
TRA statement said the offices have been put under the lock for the company failure to pay taxes to TRA to a tune of Sh12.2 billion. The Taxpayer Education director at TRA, Mr Richard Kayombo, told The Citizen that the moves comes after the authority tried to communicate severally with the office to no avail
In what looks like no end to woes facing the renowned famous businessman Yusuf Manji, the Tanzania Revenue Authority (TRA) yesterday closed one of Manji’s companies known as Farm Equipment.