Faida ya kukaa muda mrefu bila tendo

Faida ya kukaa muda mrefu bila tendo

Ana mume au aliipata hiyo mimba huko barabarani? Kama ana mume basi hakuna faida bali hasara ya kuletewa maambulizi from outside.
Kama huyo mtoi alimwokota barabarani, hata akikaa miaka 7 mbona bora zaidi amlee mtoi wake vizuri tuu? Kwani uzinzi na haswa ukiuendekeza na wanaume tofauti tifauti ni faida?? Achana nao we tulia utapata heshima


Kaolewa ila mume yu mbali na mke mpaka sasa wana mwaka kama na nusu hivi hawajakutana kimwili.
 
si naniliuuu inakuwa tyt jamani,afu mwisho wa siku una-enjoy kama vile ndo kwanza ametolewa bikra
 
Tumia theory za evolution (in Biology). "The more you use your body parts, the more stronger they become while the more idle they stay, the high the possibility of the parts being weak or loosing them off". Kama ni naniii itaziba!!!
 
Kaolewa ila mume yu mbali na mke mpaka sasa wana mwaka kama na nusu hivi hawajakutana kimwili.

Wewe umejuaje kama hajaguswa na mwanaume yeyote!?Unless uwe ni wewe mwenyewe..
 
bikira ya pili na ugeni wa mambo ya sita kwa sita
 
Itanuka faida ya kungonoka mojawapo ni lile gegedu linasafisha papuchi
 
Kaolewa ila mume yu mbali na mke mpaka sasa wana mwaka kama na nusu hivi hawajakutana kimwili.

Kama anamheshimu huyo mme atatulia tuli, tatizo ni huyo njemba. Je katulia? Utakuta huko anajirusha na vimwana wakati mwenzake anamngojea kwa hamu kweli kweli. Akirudi tu anapata vitu viwili, mimba nyingine na ka ukimwi juu.
Asikubali hata kwa dawa kumvulia pichu yake huyo jamaa akirudi bila kwenda kupima. Wanaume hatuaminiki.
 
Tumia theory za evolution (in Biology). "The more you use your body parts, the more stronger they become while the more idle they stay, the high the possibility of the parts being weak or loosing them off". Kama ni naniii itaziba!!!
Sasa watu mpaka kufikisha teenage si zingekuwa zimeziba jamani?!
Mbona wengine wanaanza sex wakiwa na 20+.

Tukirudi kwa mtoa mada mi sioni kama kuna tatizo faida ya haraka atakuwa kaepuka michepuko maana mumewe yuko mbali.
 
Kule mahal kutajirud as binti ambaye hajazaa then afya ya mtoto itakuwa nzuri
 
Back
Top Bottom