Faida utakazopata ukila mbegu za Maboga

Ni kweli zina madini mengi,ila kwa ushauri nenda Google ili uweze kujua ni kiasi gani unatakiwa utumie kwa siku kwani mwisho wa siku mtu utakula kikombe kizima kila siku matokeo yske zinakuletea madhara,mimi nilishawahi kuzitumia nilichogundua ni kuwa mzunguko wa damu ukawa juu,yaani mapigo ya moyo yakawa ya kasi kidogo,nikaingiwa na hofu nikaachana nazo...
Yah ni kweli kwa matumizi inategemea na mtu na mtu kwasababu kipimo cha hizo MBEGU kwa siku unatakiwa utumie kiganja kimoja cha mkono
Kwahio hapo utaona vipimo vinatofautiana mtu na mtu
 
Naona madaktari wamekuwa wengi siku hizi mitandaoni....walianza na vumbi la Kongo, wakaja na mbigiri (miba za kukaanga), na sasa mbegu za maboga. Kaba ya mwaka kwisha tutasoma mengi ya kushangaza.
Hpn mkuu Unajua ukifuatilia kwa makini utagundua hii ni elimu tu tunapeana kwasababu mbegu za Maboga zipo kila mahali sio sawa na vumbi la Kongo hujui linatengenezwaje hlf mbegu za Maboga ni kama karanga lkn kuna vitu kadhaa vimeongezeka ndani yake
Kula uinjoi maisha
 
Zinapikwaje?
Unaziosha vizuri..unazichuja maji then unazitia na chumvi vilevile zikiwa na maji! Baada ya hapo unaziweka kwenye sinia kubwa unazitandaza vizuri unazieka juani zikauke
Zikishakauka unazikaanga kwenye sufuria na moto mdogomdogo! Zikishaiva ziko tayari kuliwa
 
Zina madini aina ya zinc, kopa, magnesium, chuma , manganese, phosphorus
Husaidia uzalishaji wa Maziwa kwa mama anaenyonyesha
Husaidia kurekebisha sukari mwilini na kuwezesha kongosho kufanya kazi yake vizuri
Huimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume na wanawake kutokana na madini aina ya zinc omega3 na omega6
Huondoa sumu mbalimbali mwilini hasa kwenye figo na kibofu cha mkojo pia huondoa madhara ya pombe kiafya

Ni chakula bora kwa mama mjamzito
Husaidia kuondoa shinikizo la damu

Ni chanzo kizuri cha vitamin K, A ,B,E
Ni kinga dhidi ya kansa ya kizazi kwa wanaume na wanawake
Huboresha kumbukumbu, akili kwa watoto na watu wazima

Husaidia kutibu matatizo ya viungo
Husaidia kuondoa unene unaotokana na wingi Wa mafuta cholesterol mwilini

Ni kinga tiba dhidi ya moyo INI na figo

Husaidia kutibu matatizo ya macho kutokana na wingi Wa vitamin A

Huimarisha mishipa ya sehem za siri kwa wanaume na kufanya iwe na nguvu Mara dufu kutokana na madini aina ya zinc,, chuma na kopa

Kula mbegu za Maboga kwa faida kubwa mwilini
AsanteniView attachment 762619
Nawaekea wanangu kwenye uji wao! Ni mtamu
 
Tulipokuwa watoto tunachemshiwa maboga na mamumunya tulikula sana hizi mbegu. Hayo madini had leo yamejaa mwilini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom