ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,649
- 57,042
1.hawazeeki mapema
2.kila nguo inawapendeza
3. hawakinaishi yaani hawana minyama minyama kwenye mapaja ambayo inaweza kukufanya ukawachoka au ukapata uvivu wa kuwapelekea moto.
4.wako shapu yaani Kama kuna mission unacheza nao fasta wanaikamilisha hata kutembea kwao tu wakitembea fasta Bado wanavutia ila kibonge akitembea fasta fasta anachekesha.
5.wengi wana akili na vipaji.
6.wengi Ni wapole.
7.Ni rahisi kuwabeba hata ukitaka kumfukuza unamnyanyua na kumrusha nje ila vibonge akiamua kukaa hata kumnyanyua TU utashindwa uanzaje
So binafsi japokuwa mnasema chura ndo habari ya Sasa lakini Mimi daima nitasimama na slims mpaka mwisho kwa sababu faida Ni nyingi kuliko hasara.Na stori yangu ndio imeishia hapa.
2.kila nguo inawapendeza
3. hawakinaishi yaani hawana minyama minyama kwenye mapaja ambayo inaweza kukufanya ukawachoka au ukapata uvivu wa kuwapelekea moto.
4.wako shapu yaani Kama kuna mission unacheza nao fasta wanaikamilisha hata kutembea kwao tu wakitembea fasta Bado wanavutia ila kibonge akitembea fasta fasta anachekesha.
5.wengi wana akili na vipaji.
6.wengi Ni wapole.
7.Ni rahisi kuwabeba hata ukitaka kumfukuza unamnyanyua na kumrusha nje ila vibonge akiamua kukaa hata kumnyanyua TU utashindwa uanzaje
So binafsi japokuwa mnasema chura ndo habari ya Sasa lakini Mimi daima nitasimama na slims mpaka mwisho kwa sababu faida Ni nyingi kuliko hasara.Na stori yangu ndio imeishia hapa.
