FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Hayana shida yoyote,hayo ni maneno ya watu tu mimi nimeyaoga kuanzia utoto wangu na mpaka leo nina miaka 34 lakini ukiniona kama vile nina miaka 25.
Kumbe hongera
Hayana shida yoyote,hayo ni maneno ya watu tu mimi nimeyaoga kuanzia utoto wangu na mpaka leo nina miaka 34 lakini ukiniona kama vile nina miaka 25.
wote wanaweka bwana tena mwanaume ndo rahisi sana kitu kimesi***** unamwagia maji mote kinalala chenyewe na husikii tena maluweluwe. Si ukajaribu halafu usisahau kuja kunipa matokeo sawa eeehhh au sio hc?!!
duh!
Umeyataka mwenyewe mie simooooooooooooo
Practical study
:kev::kev:
sogea tuchemshe maji uone.....
Mbona sikuoni sasa uko wapi. nishafika chumba kile kile chenye hewa na kitanda kikubwa
kalaghabaooo! we bado unafanyiaga kitandani? no wonder mnalia hapa mara hooo wanaume hivi mara hooo.....maji yanachemshwa halafu yanaenda mahali panapohusiana na maji! bafuniiii
Sasa si niko chumba chenye bafu au unataka mabafu ya nje wewe niko bafuni
ya nje ndo poa!
Nimetoka njoo upande huu wa pili wa vyumba ambavyo si self contained
wanawake wakienda kuoga hupendelea kuwa na maji ya moto sana pembeni!