mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,251
Wadau,
Naomba tujadili kidogo hii tabia ya wapendwa wetu ambao hutoa tamko kuwa nikifa nizike sehemu fulani.
Ninajiuliza hii ina faida yoyote au hasara kwa huyo mpendwa wetu iwapo atazikwa sehemu tofauti na aliyotaka?
Kama zipo ni zipi? Je kuna madhara yoyote yatawapata wale waliokaidi tamko lake? Kama zipo ni zipi?
Naomba tujadili kidogo hii tabia ya wapendwa wetu ambao hutoa tamko kuwa nikifa nizike sehemu fulani.
Ninajiuliza hii ina faida yoyote au hasara kwa huyo mpendwa wetu iwapo atazikwa sehemu tofauti na aliyotaka?
Kama zipo ni zipi? Je kuna madhara yoyote yatawapata wale waliokaidi tamko lake? Kama zipo ni zipi?