"Faida na hasara (Profit and loss) au kufa na kupona"

bbc

JF-Expert Member
Jan 18, 2016
3,836
4,146
Wanajamii, hebu tupeane elimu kidogo, kwanini tunasema "profit and loss na siyo profit or loss" au "kufa na kupona badala ya kufa au kupona" kwasababu kinachotokea ni kimojawapo na si vyote viwili kwa pamoja! Mwenye kujua zaidi tafadhali.
 
Profit na loss sababu hakuna absolute profit or absolute loss,
 
Wanajamii, hebu tupeane elimu kidogo, kwanini tunasema "profit and loss na siyo profit or loss" au "kufa na kupona badala ya kufa au kupona" kwasababu kinachotokea ni kimojawapo na si vyote viwili kwa pamoja! Mwenye kujua zaidi tafadhali.

Wapi mnasema "profit and loss"?
 
Kwenye taarifa za fedha (balance sheet)
 
Ukitaja mfano "profit and loss account " haimaanishi Kuwa vinatokea vyote viwili Kwa wakati mmoja . Mleta mada usitafsiri kingereza kwenda Kiswahili Moja Kwa Moja hautapata maana halisi . Profit and loss account Ina maana kwamba ni report ambayo inaweza kuonesha profit au ikaonesha loss na si Kwa wakati mmoja Kwa maana unapoanza kuisoma kuanzia juu unakuwa hujui Kama Mwisho kuna loss au profit
 
Ukitaja mfano "profit and loss account " haimaanishi Kuwa vinatokea vyote viwili Kwa wakati mmoja . Mleta mada usitafsiri kingereza kwenda Kiswahili Moja Kwa Moja hautapata maana halisi . Profit and loss account Ina maana kwamba ni report ambayo inaweza kuonesha profit au ikaonesha loss na si Kwa wakati mmoja Kwa maana unapoanza kuisoma kuanzia juu unakuwa hujui Kama Mwisho kuna loss au profit


Nakushukuru
 
Back
Top Bottom