Faida 5 za mke wako kutembea nje ya ndoa

Faida 5 za mke wako kutembea nje ya ndoa

buzbud

Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
40
Reaction score
17
1. Atakuletea staili mpya.

2. Mapenzi yataongezeka ili kukuzuga.

3. Gharama za matumizi kama saluni, mitoko na vocha hupungua

4. mkeo hatakuwa na stress Wala hatakupa stress

5. Hatakusumbua kwa hawara zako Wala kukuuliza maswali unapochelewa.

Muache mkeo awe na Mpenzi wa nje, ndoa yenu itadumu.
 
^^
Baada ya kuhalalisha ushoga, sasa zinaanza dalili za kuhalalisha uzinzi
^^
 
1. Atakuletea staili mpya.

2. Mapenzi yataongezeka ili kukuzuga.

3. Gharama za matumizi kama saluni, mitoko na vocha hupungua

4. mkeo hatakuwa na stress Wala hatakupa stress

5. Hatakusumbua kwa hawara zako Wala kukuuliza maswali unapochelewa.

Muache mkeo awe na Mpenzi wa nje, ndoa yenu itadumu.

6 Atakuambukiza gono,kaswende pamoja na UKIMWI
7 Ataanza kukudharau hasa pale atakapo mpata mwanamume anaye toa dozi kubwa kuliko wewe
8 watu watakusema kila unapo pita eti naye anasema anamke kumbe anajamvi la wageni
 
Back
Top Bottom