Siempre Hechos
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 1,125
- 1,343
Mimi nitashukuru sana kama ukinipa uchambuzi wa kina wa VOLKSWAGEN TIGUAN.
kwani sijaeleweka hapoWeka mkato basi kutofautisha mkuu?
Shukrani kwa ombi lako, tutaanzisha maada pekee kuhusu gari hizo mbili ili tuziongee kwa mapana. Endelea kutufuatilia bossna mimi naomba nichambulie kuhusu
BMW X5 nissan murrano
Weka mkato basi kutofautisha mkuu?
Boss, mi nimeongelea ya google ni vizuri na busara nawe ukaongelea consumption kwa mazingira yetu ya kila siku. Hili ni darasa huru sote twajifunza'Kwa wastani Outlander hutumia lita moja kwa km 12.5 ikiwa kwenye 4WD na kama utatumia 2WD inaenda mpaka km 14.5 kwa lita.'
Bro acha kuongelea consumption za hayo magari kwa ku-Google,weka hapa consumption yake halisi kwny mazingira yetu ya kila siku.
Ok safi kabisa ngoja ntachunguza then ntawatafutaInaanzia hapo kwenye 23m na mda mwingine inaweza kuanzia hata kwenye 22.5. Sisi hatuweki cha juu bali tunapiga hesabu zote hizi kwa uwazi kabisa ili mtanzania apate kilicho bora kwa gharama nafuu na wakati huo huo akituwezesha kukua zaidi
Clugar na harrier ipi ni imara nataka nijitoe muhanga hapo au pia nissani extrail new model na hizo kati ya cluger na harria.
Vuta Subaru Forester angalau 2008 mkuu utanikumbuka cc1990 turbo safi kabisa . Wenye hayo hapo juu wengi wanatamani Sub SUV hutajuta
Vuta Subaru Forester angalau 2008 mkuu utanikumbuka cc1990 turbo safi kabisa . Wenye hayo hapo juu wengi wanatamani Sub SUV hutajuta
Boss, mi nimeongelea ya google ni vizuri na busara nawe ukaongelea consumption kwa mazingira yetu ya kila siku. Hili ni darasa huru sote twajifunza
Hata mimi nimeona hilo.Ninyi jamaa muna customer care iliyotukuka.........
.........nawapa five star.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana NduguNinyi jamaa muna customer care iliyotukuka.........
.........nawapa five star.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana na tunaahidi kutowaangusha ndugu zetu mnaoonesha imani kwetu