Fahamu zaidi juu ya ndege Bundi

Fahamu zaidi juu ya ndege Bundi

Ukikuta kataga Mayai yake chukua Boksi yaweke Kisha Funga na kufuri ondoka..... Akilejea Bundi atayatoa Mayai bila kuvunja Boksi wala Kufuri lako..... Ila juu ya Boksi lako utakuta Mzizi au mti ambao yeye ndio katumia..... Ni ndege Hatari sana......
Kuna mtu mmoja wizara ya pesa alikua anajitia mnoko na mfitini sana. Basi kuna mtu kachukua bundi hai. Kamvunja miguu na mabawa akiwa hai na kumfunga kitambaa chekundu mguuni na kilemba cheusi kichwani halafu kwa siri kubwa akavitumbukiza kwenye droo ya mnoko. Mbona palichimbika bila jembe mpaka mnoko akahamishwa idara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
King Mufasa

Naongezea, Pia Bundi macho yake yapo stationary yaani kama tochi, hawezi kuzungusha jicho kuangalia kushoto, kulia, juu, na chini kama binadamu na ndege wengine. Kwa hiyo shingo ndio inayozunguka direction tofauti tofauti na kulisaidia jicho kuona angle tofauti tofauti kwa sababu Owls Don't Have Eyeballs.
 
Naongezea, Pia Bundi macho yake yapo stationary yaani kama tochi, hawezi kuzungusha jicho kuangalia kushoto, kulia, juu, na chini kama binadamu na ndege wengine. Kwa hiyo shingo ndio inayozunguka direction tofauti tofauti na kulisaidia jicho kuona angle tofauti tofauti kwa sababu Owls Don't Have Eyeballs.
Upo sawa mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah hicho kiumbe
Naongezea, Pia Bundi macho yake yapo stationary yaani kama tochi, hawezi kuzungusha jicho kuangalia kushoto, kulia, juu, na chini kama binadamu na ndege wengine. Kwa hiyo shingo ndio inayozunguka direction tofauti tofauti na kulisaidia jicho kuona angle tofauti tofauti kwa sababu Owls Don't Have Eyeballs.
 
Nataka hayo mayai nikafanye practical ,aliyenayo tafadhali make nishaandaa boksi la chuma+ solex
Ukikuta kataga Mayai yake chukua Boksi yaweke Kisha Funga na kufuri ondoka..... Akilejea Bundi atayatoa Mayai bila kuvunja Boksi wala Kufuri lako..... Ila juu ya Boksi lako utakuta Mzizi au mti ambao yeye ndio katumia..... Ni ndege Hatari sana......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu kikubwa mno hujakisema kuhusu bundi. Ana uwezo wa kuzungusha shingo yake nyuzi 360. Mwili unaweza kutazama mbele lakini akageuza kichwa chote kutazama nyuma!
 
Labda ndiye ndege anaetisha zaidi duniani.sitaisahau siku ile nimemuona bundi juu ya mti.nikachuma kakao na kumrushia mara kadhaa lakini hakuruka.nikajua amelala.nikapanda juu ya mti kumfuata nimpige na fimbo lakini kilichonikuta sitasahau kwani nilipomsogelea alifumbua macho nikastuka sana na kujiachia na kudondoka.nikavunjika mguu na mkono.bundi anatisha.namwogopa sana.bundi wa kyela wana aina mbili za kulia.nduuuuuuu na pisupinsulu unkukuu.wa kike ana sauti nyembamba huku dume anatoa base.bundi hawalii hovyo na akilia mara nyingi kuna tokea msiba.au mkila chakula kitamu kama nyama anatokea.bundi hapendi matusi hivyo ukimtukana anakimbia.pia anaogopa sana moto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bututu je?
 
Kuna kitu kikubwa mno hujakisema kuhusu bundi. Ana uwezo wa kuzungusha shingo yake nyuzi 360. Mwili unaweza kutazama mbele lakini akageuza kichwa chote kutazama nyuma!
Yes. umenifanya niipitie upya hiyo mada yangu nimeona pungufu hilo nitaliediti kukamilisha habari. Lakini uwezo wake wa kuzungusha kichwa ni nyuzi 270 kulingana na wataalam wa maswala ya ndege.
 
Ukitaka kumtisha mswahili. Ua bundi kisha mtupe mlangoni kwake na mfunge hata kitambaa chekundu.
 
Back
Top Bottom