Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,510
- 9,349
- Thread starter
- #141
Pamoja mkuu...umetisha
Pamoja mkuu...umetisha
Itoshe kusema we jamaa uchambuzi wako umeshiba haswaa yani umepita kwenye chalk....agiza mofaya nitalipa mkuupremio, alion na voltz zinaingia kwenye kundi namba 1 isipokuwa maranyingi wamiliki wa gari hizi wengi wao wanakuwa walishawahi kumiliki labda Ist, Tiida,Spacio, n.k...kwa hiyo hawa wame..upgrade umiliki wao japo bado wapo kundi lile lile
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa tutarudi siku nyingine....Na sisi tunao miliki YUTONG F12 au ZHONGTONG climber tuna sifa gani
Sawa hatukupigi. Kijana endesha Crown au Brevis yote MaishaX -trail gari la wazee hilo. Kijana unaendeshaje X-trail!
Msimpige mjumbe.