Mkuu,unaniambia mleta mada au mwingine?Hebu futa ilo jina ***** wa Dsm halipendez kuwepo mahal hapo...
Hiyo ndiyo imeleta kuwa na Majeshi yenye nidhamu ya hali ya juu sana ktk hizo nchi na Tanzania pia.Yawezekana mkuu
Ni kwasababu ya bandiko hili. Ha ha ha haNdugu wanajukwaa, ile tabia ya RCs na DCs ya kukamata kamata watu ovyo na kuwaweka ndani ni kama imepungua vile. Je ni kwa sababu ya moto anaopitia Bashite kwa sasa au hoja za bunge lililopita au sababu nyingineyo? Karibuni kwa tafakari hii tunduizi.