Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,910
- 6,706
Sawa mkuu, ulete mrejeshoNgoja nitulie dakika 15 mara moja.
Ahahahahah hahahahah itakubidi aisee....Kwa hiyo kupata mwenza mwaminifu na mwenye akili inabidi utafute yule aliye na aibu...
Duh hapo 'unapooga' au unapoogopa?7) Binadamu anaweza kufa kwa sababu ya uoga....Kwasababu unapooga mwili hutoa kiasi kikubwa cha adrenaline ambacho Inaweza kuwa sumu
Unapoogopa/typing errorDuh hapo 'unapooga' au unapoogopa?
Shida ndo inaanzia hapo fulani atanionajee! wewe ndo wewe hakuna kama wewe.Hiyo namba 6 siyo poa,ukionwa na watu watajua umeshachizika.
Ndio.Kwa hiyo kupata mwenza mwaminifu na mwenye akili inabidi utafute yule aliye na aibu...
Inaweza kuwa aibu ya kuzugia kumbe pembeni mambo moto..Ndio.
Mwanamke lazima awe na aibu na kujiheshimu.
Juzi nilikua kwenye harusi Mlimani city, aisee huwezi kuamini. Kuna mwanamke alikua anachukua vipaja vya kuku majuisi na chupa ya wine na kuweka kwenye kibegi chake.
Yaani alikua Hana aibu au tuseme Soni. Halafu anaonekana wa uchumi wa Kati.