Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,027
- 20,413
Tuanze kwa kusema Ziwa Victoria(Nyanza) hili ndo Ziwa kubwa Afrika.
👉Lina km za mraba 69,584km² lakini kwa eneo lote lenye maji ni km za mraba 169,858km². Urefu wa kina ni 80 hadi 84mita(futi 262 hadi 276) maeneo mengi yana wastani wa kina cha mita 40(futi 130).
👉Ziwa hili linapatikana nchini Tanzania km za mraba 33,700km² (49%), Uganda km za mraba 31,784km² (45%), Kenya km za mraba 4,100km² (6%).
👉Pia linakadiliwa kua na zaidi ya aina za samaki 500 lakini inasemekana aina za samaki zipatazo 200(40%) inasemekana kutoweka, pia Ziwa hili lina zaidi ya visiwa 100.
👉Linapokea maji kutoka mto Kagera, mto mara,n.k. Pia linamwaga maji yake mto Nile.
👉Ni Ziwa la kwanza kwa ukubwa Tanzania pamoja na afrika lakini pia nila tatu kwa ukubwa duniani. Nchini Tanzania Ziwa hili lipo mikoa ya Geita, Mwanza, Kagera, Mara na Simiyu.
👉Mwazo Ziwa hili liliitwa Nyanza huko Tanzania (Kisukuma), Nnalubaale huko Uganda (Luganda), Nam lolwe huko Kenya (kikuo).
Liliitwa Ziwa Victoria kutoka kwenye jina la malkia wa uingereza Alexandra Victoria kwa sababu aliwatuma wapelelezi John Spike na Richard Burton kuchunguza chanzo cha mto Nile ndipo walipo kuta ni Ziwa Nyanza ndo wakaliita Ziwa Victoria ili kumuenzi kiongozi huyo wa miaka ya 1837-1901.
Hilo ndilo Ziwa Victoria (Nyanza: kwa kabila la kisukuma ikimanisha Ziwa).
👉Lina km za mraba 69,584km² lakini kwa eneo lote lenye maji ni km za mraba 169,858km². Urefu wa kina ni 80 hadi 84mita(futi 262 hadi 276) maeneo mengi yana wastani wa kina cha mita 40(futi 130).
👉Ziwa hili linapatikana nchini Tanzania km za mraba 33,700km² (49%), Uganda km za mraba 31,784km² (45%), Kenya km za mraba 4,100km² (6%).
👉Pia linakadiliwa kua na zaidi ya aina za samaki 500 lakini inasemekana aina za samaki zipatazo 200(40%) inasemekana kutoweka, pia Ziwa hili lina zaidi ya visiwa 100.
👉Linapokea maji kutoka mto Kagera, mto mara,n.k. Pia linamwaga maji yake mto Nile.
👉Ni Ziwa la kwanza kwa ukubwa Tanzania pamoja na afrika lakini pia nila tatu kwa ukubwa duniani. Nchini Tanzania Ziwa hili lipo mikoa ya Geita, Mwanza, Kagera, Mara na Simiyu.
👉Mwazo Ziwa hili liliitwa Nyanza huko Tanzania (Kisukuma), Nnalubaale huko Uganda (Luganda), Nam lolwe huko Kenya (kikuo).
Liliitwa Ziwa Victoria kutoka kwenye jina la malkia wa uingereza Alexandra Victoria kwa sababu aliwatuma wapelelezi John Spike na Richard Burton kuchunguza chanzo cha mto Nile ndipo walipo kuta ni Ziwa Nyanza ndo wakaliita Ziwa Victoria ili kumuenzi kiongozi huyo wa miaka ya 1837-1901.
Hilo ndilo Ziwa Victoria (Nyanza: kwa kabila la kisukuma ikimanisha Ziwa).