Fahamu kuhusu Polonium-210

Hivi polonium,si ya fahamika pia kama sumu hatari sana kwa viumbe au sio,na bahadhi ya nchi zimetumika dhidi ya watu wasopendwa.
 
Hapo CCM kuanzia Amos makala,wasira,nchimbi,mwiguru,mwana fa,lucas mwashamba,mwijaku na cccm wote wa JF umewatoa kapa
 
Asante kwa elimu, nilikimbia physics.
Kwa nchi kama yetu inatumikaje
 
Maombi?. Maombi ya kumuomba Mungu aumbe Bismuth nyingi zaidi ili tuzalishe Polonium 210 kwa wingi,nchi ing'are kwa umeme?🤣
 
asante kwa elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…