complex31
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 379
- 1,208
Je, unafahamu ya kwamba maji yaliopo ulimwenguni ni yale yale yaliekuwepo toka Dunia kuumbwa, hayapungui wala kuongezeka.
Maji hutokea kwa kuchanganywa kwa hewa mbili ambazo ni Hydrogen na Oxygen ila Hydrogen zinakua mbili H2O.
Mvua ikinyesha haya maji hufata njia zake za asili (tributaries) na kwenda kwenye mifereji, mito, mengine huingia chini ya ardhi na kupita kwenye mito ilio chini ya ardhi na kufikia hitimisho ambayo ni maziwa, mabwawa na bahari.
Hivyo hivyo maji yatokayo majumbani na kuingia kwenye Choo au Chamber huenda kwenye mizunguko hiyo hiyo ya mito ilio chini ya ardhi.
Pia unapokuja maji hayapotei hujankutoka kwa njia ya mkojo au jasho yakiwa yamechanganyika na madini mengine yatokayo kwenye mwili.
Maji haya yaliotuama baharini kwenye maziwa, uliotumia kunyeshea mazao, garden na vinginevo kwenye ardhi huchomwa na jua na kugeuka (mvuke) na kwenda kutunga mawingu huko juu na kisha badae hurudi kama mvua.
Mengine huganda baharini na kutengeneza iceberg kwenye kanda zilizo na baridi kali north pole na South pole.
Hivyo circle ya maji inakua hiyo hiyo,
Hayaongezeki wala kupungua.
Maji hutokea kwa kuchanganywa kwa hewa mbili ambazo ni Hydrogen na Oxygen ila Hydrogen zinakua mbili H2O.
Mvua ikinyesha haya maji hufata njia zake za asili (tributaries) na kwenda kwenye mifereji, mito, mengine huingia chini ya ardhi na kupita kwenye mito ilio chini ya ardhi na kufikia hitimisho ambayo ni maziwa, mabwawa na bahari.
Hivyo hivyo maji yatokayo majumbani na kuingia kwenye Choo au Chamber huenda kwenye mizunguko hiyo hiyo ya mito ilio chini ya ardhi.
Pia unapokuja maji hayapotei hujankutoka kwa njia ya mkojo au jasho yakiwa yamechanganyika na madini mengine yatokayo kwenye mwili.
Maji haya yaliotuama baharini kwenye maziwa, uliotumia kunyeshea mazao, garden na vinginevo kwenye ardhi huchomwa na jua na kugeuka (mvuke) na kwenda kutunga mawingu huko juu na kisha badae hurudi kama mvua.
Mengine huganda baharini na kutengeneza iceberg kwenye kanda zilizo na baridi kali north pole na South pole.
Hivyo circle ya maji inakua hiyo hiyo,
Hayaongezeki wala kupungua.