Fahamu kuhusu Mnyama Panya

Fahamu kuhusu Mnyama Panya

na mie ncheme aina nyingine,wanaitwa wahida hawa huishi porini na hutoka usiku kutafuta chakula,na watamu kwa chakula.karibu ntwara

Hahahaaa wanaitwaje? Sio wale wale jamani?
 
pia kuna wale wanaokula kucha tu huku wakipuliza na wale wale wanaokula vifungo tu mwisho ni wale wanaojipitisha pitisha wakiona wageni

Hao wanaojipitisha mbele ya wageni wanapenda sifa...hawachelewi kudondosha vyombo au kutoka wanaburuza chu.pi...
Mkiwa wenyewe wala hawaonekani...subiri aje mgeni uone wanavyoibuka kama wameitwa waje kutambulishwa vilee...

Wengine ndo wanampigia kelele kabisaa ndani ya sofaa....
 
Hao wanaojipitisha mbele ya wageni wanapenda sifa...hawachelewi kudondosha vyombo au kutoka wanaburuza chu.pi...
Mkiwa wenyewe wala hawaonekani...subiri aje mgeni uone wanavyoibuka kama wameitwa waje kutambulishwa vilee...

Wengine ndo wanampigia kelele kabisaa ndani ya sofaa....

Ha ha ha, wakija wageni wanatengenezewa maakuli ya maana ndio maana nao hushindwa kuvumilia kwa maficho yao
 
Kuna panya wanatoboa gypsum, tena ajabu sitting room tu (ambako wageni hufika). Amini usiamini, mimi yamenifika.
 
Kuna panya wanatoboa gypsum, tena ajabu sitting room tu (ambako wageni hufika). Amini usiamini, mimi yamenifika.

Hahahaaaaa....hawa ndo wale wale panya vihere here. Shukuru hao wanatoboa juu kuna wengine ndo wanajipitisha miguuni, mara waukwae waya tv izimike...yani wataleta rabsha hadi mgeni atambue uwepo wao...

Ila dawa yao paka tuu....
 
Kwa sifa za panya leo hii nimekuta amekula nazi tena zilikuwa hata hazijapasuliwa kala kifuu had kakitoboa
 
Back
Top Bottom