Fahamu kuhusu kukomaa kiakili

Fahamu kuhusu kukomaa kiakili

somo nzuri lakini kuwa mkomavu wa akili sio jambo dogo kwa sababu wengi tumeathiliwa na malezi tuliokulia,
kwa hiyo hta changamoto mda mwingine badala ya kutujenga inatuvuruga kabisa.
all in all Africa tuna laana ya asili
 
somo nzuri lakini kuwa mkomavu wa akili sio jambo dogo kwa sababu wengi tumeathiliwa na malezi tuliokulia,
kwa hiyo hta changamoto mda mwingine badala ya kutujenga inatuvuruga kabisa.
all in all Africa tuna laana ya asili


Eti Afrika tuna laana ya asili😀 kwahiyo hatuna namna ya kuchomoka kwenye hiyo laana?
 
somo nzuri lakini kuwa mkomavu wa akili sio jambo dogo kwa sababu wengi tumeathiliwa na malezi tuliokulia,
kwa hiyo hta changamoto mda mwingine badala ya kutujenga inatuvuruga kabisa.
all in all Africa tuna laana ya asili
Uko sahihi sana mkuu wangu lakini hilo la Afrika kuwa laana Siwezi lizungumzia kwa sababu sina ushahidi nalo.
 
Back
Top Bottom