Mkuu heshima yako! Naeza pata wapi mbegu zake matunda haya?Strawberry ni moja ya matunda luxury sana ambao mara nyingi sana hulimwa kwa ajili ya ku export nje.
Ila siku za hivi karibun kwa sababu ua kuku wa Middle class na muingiliano na wageni basi utamaduni wa kuyala umekuwa ni mkubwa sana miongoni mwa jamii.
AINA YA STRAWBERRY
Aina kuu ni Fragaria genus.
Na hapo kwenye Fragaria genus utakutana na;
1. Chandler,
2. Domanil
3. pajaro
4. Douglas
5.Tioga selva
6. Rabunda
7.Tri-Star
8.Tribute
Kila aima ina sifa zake nzuri na mbaya zake pia na ziko za ukanda wa joto sa a na ukanda wa Baridi sana.
MATUMIZI
Strawberry ina matumizi mengi sana nitataja machache.
1. Kutengenezea Icecream- Mahoteli makubwa huanunua kwa ajili hiyo ya Icecream.
2. Ftesh Juice- Wanunuzi ni Mahoteli na majumbani.
3. Processed Juice- Hii ni juice iliyo packiwa
4. Yogurt- Viwanda vya kusindika maziwa wanatumia sana na ndo wanunuzi wakuu wa haya matunda.
5. Watengeneza keki- Kudecorate keki
6.Decoration kama maua ya kupamboa ukumbini.
7. Manukato
8. Kuliwa kama Freshi fruit
9. Jam
10.Sauces
13. Madawa na kadhalika.
Strawberry inapenda sana maji kiasi kwamba kama maji ni ya kutafuta kwa tochi basi usijaribu kulima hii kitu.
MBEGU
Strawberry huoteshwa miche yaani yenyewe hutoa miche ambayo huogwa runner na hizo runner huoteshwa tena.
KULIMA
Inakubali maeneo mengi sana isipokuwa maeneo yenye joto kari make haizwezi himili joto la zaidi ya 30c.
SOKO LAKE
Soko lake lipo ila mtu akiamua kutengeneza Jam mwenyewe au Ice cre basi anaweza pata pesa ziadi ya mara 4 ambayo angepata kama angeuza matunda.
Miche unaweza pata ila sio mbegu, mbegu zake huchukua muda mrefu.mno kuota. Kunakuwa na micheMkuu heshima yako! Naeza pata wapi mbegu zake matunda haya?
Inategemeana unaweza pata kwa sh 1000/ hadi 2500/mkuu hiyo miche inaweza kupatikana kwa bei gani??
so ya bei hiyo unaweza kupanda sehemu ya ukubwa gani??Inategemeana unaweza pata kwa sh 1000/ hadi 2500/
kwamba bei ya sh elf 1 hadi 2500 ni ya mche mmoja??Ya bei ipi? Heka 1 inachikua miche 12,000 nusu heka miche 6000 na robo unaaeza weka miche 3000
Mkuu Mavuno kwa mche mmoja ni wastani wa Gram 20 na kwa wiki unachuma mara 2 hadi 3.Kwa nini usiweke maelezo ya kutosha...
Mfano mche mmoja kwa wastani hutoa matunda mangapi, na mkulima atarajie faida ipi baada ya mavuno, nini changamoto za kilimo, wapi kilimo kinafaa na kifanyike vipi n.k
Sehemu yoyote isiyo kuwa na udongo wa kichanga.Kwa nini usiweke maelezo ya kutosha...
Mfano mche mmoja kwa wastani hutoa matunda mangapi, na mkulima atarajie faida ipi baada ya mavuno, nini changamoto za kilimo, wapi kilimo kinafaa na kifanyike vipi n.k
Mkuu miche ipo ya aina mbili iliyo ng'olewa tu hiyo ni sh 1000 hadi chini ya hapo pia kuna poted au ambayo imeisha oteshwa kwenye viriba na ina hata mwezi au.mwezi na nusu.kwamba bei ya sh elf 1 hadi 2500 ni ya mche mmoja??
asante kwa maelezo mkuuMkuu miche ipo ya aina mbili iliyo ng'olewa tu hiyo ni sh 1000 hadi chini ya hapo pia kuna poted au ambayo imeisha oteshwa kwenye viriba na ina hata mwezi au.mwezi na nusu.
Kumbuka zinaanza kuzaa baada ya siku 70
Kwa nini usiweke maelezo ya kutosha...
Mfano mche mmoja kwa wastani hutoa matunda mangapi, na mkulima atarajie faida ipi baada ya mavuno, nini changamoto za kilimo, wapi kilimo kinafaa na kifanyike vipi n.k
Ndo unavyo waza mtoto wa mama? endelea kuelewa hivyo hivyoSiajabu hata yeye hajui !
Ndo unavyo waza mtoto wa mama? endelea kuelewa hivyo hivyo
Ulitaka kwanza Mama ako apate taarifa? Hahaa shinda humu kusifia na kupingana wanaume wenzako, wanapiga pesa wewe uko bise kupingana sijui kwa akili zako za kushikiwa ulitaka niwaandikie Barua ukoo wenu kuwaarifu kwamba nalimaAcha utapeli hujawahi kulima strawberry na wala hutawahi kwa hiyo usishawishi watu kitu ambacho hujawahi kufanya
Ndio mkuu jipange unaweza fanya tu kikubwa ni niaFursa nzuri