Kama bado haujapata miche.ya strawberry, nitafute nikuletee hiyo miche unayohitaji. Nipo Dar though mashamba yangu yapo Morogoro. +255765452928 au +255713769013 Emanuel Fidelis Mgimwa
Uko na mbegu type gani mkuu??? Mie nipo dar makumbusho nami nahitaji
so unauzaje kwa kila mche? nitahitaji kama miche 100
Mche mmoja ni Tshs 500 mkuu
Mche mmoja ni Tshs 500 mkuu
Gharama zake ni kuandaa shamba, vifaa vya umwagiliaji, mbegu na mbolea, usafishaji shamba na vifaa vya kuvunia bila kusahau kusafishia miche. Kama ukihitaji miche nitafute
Gharama zake ni kuandaa shamba, vifaa vya umwagiliaji, mbegu na mbolea, usafishaji shamba na vifaa vya kuvunia bila kusahau kusafishia miche. Kama ukihitaji miche nitafute
wazungu wa peramiho waliziletaUmezunguka kariakoo hakuna mbegu?
Strawberries niliziona songea silujua kama dar zinakubali
Msaada huo unazingatia mahitaji muhimu kabla ya kuanza kulima niandae vipi shamba langu,mbegu kwa hapa Tanzania hasa Dar es salaam ntazipata wapi? na mengine unayo ona muhimu