Fahamu kuhusu Biashara ya mkonge nchini Tanzania na Changamoto zake

hongera sana mkuu.. Na karibu sana kwenye kilimo cha mkonge
 
Ni vijana wa mjini ambao hawawezi kuchangamkia furusa hii, je hao wengine wanaipataje aridhi?
 
Ni vijana wa mjini ambao hawawezi kuchangamkia furusa hii, je hao wengine wanaipataje aridhi?
Tanzania bado tuna ardhi kubwa sana sana. Tatizo la watu wengi wanapenda maeneo ambayo ni karibu na mijini. Kuna maeneo Tanzania ukienda hata hununui ardhi, serikali ya kijiji inakupatia ardhi, juhudi zako ni kusafisha hiyo ardhi na kuanza kulima.
Kukosa ardhi huwa siamini kama ni kikwazo.
 
Ni mkoa upi huo nije nilime miti ya matunda?
 
Naomba nijuwe mkonge ukishailima inaweza ikadumu kwa miaka mingapi ndo inakufa?

Miaka mingi. Mkonge ukifika ukomo hutoa mlingoti, ila pembeni kutakuwa na maotea hivyo basi like otea ambalo lipo karibu na mkonge ulioota lingoti litashika nafasi na lile la mlingoti unalikata. Unaweza kaa hata miaka mingi ni utunzaji tu.
 
lipo hekta 12 sawa na ekari 30..mill 48.
Huwa hayapatikani kama ulivyodai, mara nyingi watu hupanda wenyewe na maeneo kupata ckuiz ni ngumu...Ni kama bahati juzi kupata mtu anayeuza shamba lake maeneo ya korogwe ..ukitaka namba sema nikupatie
Inamaana hakuna mapori huko ya kununua na kufyeka mwenyewe? Mapori yote Tanga yamekwisha, sivyo?
 
Wilaya gani naweza kupata mashamba huko Tanga kwaajili ya kilimo cha mkonge? Bei ya shamba kwa ekari moja ikoje huko? Asante

kwa sasa kwa maeneo kongwe kama Korogwe inakuwa ngumu kidogo. Japo ukibahatisha wewaza kupata. Na ni kwa bei ambayo imechangamka.

Watu wengi kwa sasa wanaenda handeni mana bei iko chini, kwa ekari unaweza pata hata kwa laki moja (hii ilikuwa mwaka jana) huenda bei ikawa imepanda zaidi mana watu wengi wanakimbilia huko.
 
Mkuu,ni korogwe mpaka magoma huko kwa mandondo maeneo hayapatikani?
 
Mkuu,ni korogwe mpaka magoma huko kwa mandondo maeneo hayapatikani?

Mkuu,ni korogwe mpaka magoma huko kwa mandondo maeneo hayapatikani?

magoma ndo usiguse kabisa maana mkonge wenye singa nzuri Tanzania unatokea magoma na ni sehemu yenye mkonge mwingi mno ikifuatiwa na hale. Magoma, kwamandondo, mashewa mpaka mavovo, maramba yote wameshaamka. bora maeneo ya matarawanda, makorora, mahenge na kwamndolwa unaweza pata marneo. kwa magoma ni ngumu mno na ukipata bei itakuwa ya juu mno.
 
Vipi na biashara na kilimo cha viungo Tanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…