ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 683
- 1,599
hongera sana mkuu.. Na karibu sana kwenye kilimo cha mkongeMwishoni mwa mwaka 2018 nilisoma andiko la Mr Mbaraka (Mtafiti wa Mkonge) ambalo liko kwenye uzi huu. Nilipendezewa nalo na kumpigia Simu. Akanielekeza sehemu ya kupata miche. Nikaenda Mlingano Tanga kupata picha ambayo nilipanda shambani kwangu Morogoro. Niliongezea na miche mingine kutoka katika shamba la Mkonge la Morogoro hapo Mkambalani (Mikese). Kwa kweli baada ya mwaka na miezi Kama 8 shamba langu linaonyesha matumaini na Nina nia ya kuongeza shamba. Lengo langu nikifishe walau hekita 40 kwa miaka 2 ijayo.
View attachment 1633420