Fahamu Kuhusu Biashara ya Clearing and Forwarding Agent

Ruaha Freight Ltd ni kampuni iliyo na leseni ya TRA, kutoa mizigo bandarini, viwanja vya ndege na mipakani (borders), yaani freight clearing and forwarding. Karibuni mtuletee kazi za kugomboa (clearing) mizigo ( magari, containers & loose cargo) tunazifanya kwa ufanisi, uaminifu mkubwa na kwa bei nafuu.


Ada zetu za uwakala ( agency fee) ni kama ifuatavyo;
1. Tunagomboa gari kwa tshs.200,000 tu.
2. Container la futi 20 kwa tshs. 250,000 na futi 40 kwa shs.300,000 tu.
3. Loose cargo ni tshs.100,000 mpaka tshs.300,000 inategemea na ujazo (Cubic Measurement)
4. Airport cargo tsh. 100,000 mpaka tsh. 250,000, nategemea uzito na thamani ya mzigo.
Wasiliana nasi kwa anuani ifuatayo;



Ruaha Freight Ltd,

Derm Plaza 11th Floor, Bagamoyo Road,

Makumbusho, Kijtonyama,

P.O.Box 62442,
Dar es Salaam- Tanzania.
Email: ruahafreight2017@gmail.com
Tel: +255222128447

Mob: +255718 866 651 (call or whatsapp).
 
Kwa mtu aliyeanza 2008 lazma awe na hela sahizi. Fursa ilikuwa wazi kabla kina GSM na HSC kuingilia mfumo. Sasa imagine 80% ya wafanyabiashara wanao import mizigo wanatolea GSM na jamaa walipambana sana ku kill competition toka walivyoingia.

Kampuni ambazo zime sustain kwenye game ni zile kongwe na zilizo base kwenye Exportation kuliko imports. Nyingine zilishaanguka.

Alipokuja Magu 2015 ndio kabisa biashara zikayumba na alipoanzisha TASAC ndio kaenda kutibua mipango.
 
Dah! Si mchezo ila jamaa niche yake ilikuwa ni magari kwa sana sijajua kama ameathirika sana
 
Dah! Si mchezo ila jamaa niche yake ilikuwa ni magari kwa sana sijajua kama ameathirika sana
Kwa magari sio mbaya maana wabongo wengi wanapenda magari. Ila ukiifanya kama dalali ndio unapata hela. Unawaagizia watu na kufanya clearance
 
Kama unaweza hata kuwa na Shipping address nje ya nchi itakuwa rahisi zaidi kama ambavyo makampuni mengine yanafanya
Boss

Naomba kufahamu zaidi hapa, je ninaweza kuwa na shipping address nje hata kama sipo huko physically?

Ningependa tujadili zaidi. Asante
 
Bond around mil 40
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…